Pesa za riba zinazolipwa kwenye mikopo ya benki zinatoka wapi?

Pesa za riba zinazolipwa kwenye mikopo ya benki zinatoka wapi?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Habarini wakuu.

Eti zile pesa ambazo mabenki yanadai kama riba zinatoka wapi? Mfano, benki kuu ndiyo kwa mara ya kwanza imeanza.

Imechapa pesa, tuseme 100bilioni. imekopesha pesa hizo kwa benki ya biashara kwa riba ya 9 % maana yake benki inatakiwa kurudisha bilioni mia moja na tisa. Inapata wapi hizi bilioni 9?

Benki ya biashara nayo ikakopesha hizi bilioni mia zote kwa riba ya 15% kwa wafanyabiashara. Maana yake itataka irudishiwe bilioni mia moja na kumi na tano. Wafanyabiashara wanapata wapi hizi bilioni kumi na tano?
 
Heee kumbe BOT inakopesha benki ndogo hizo kwa 9% , duuu kwani Serikali inafanya biashara???
 
Me nishamuelewa Ila nashindwa namna Ya Kujibu Ngoja Tusubr Wataalam Maan Kama pesa ndio kwanza ishachapishwa hy riba wanayotaka itatokea wap wakat wao wamechpsh b100 tu na sio b109
Au kwenye pesa za kigeni?
 
Nimependa swali. Ngoja nishiriki kujibu.

Kwanza, kabla ya kuchapisha bil 100 tayari kuna hela zingine kwenye mzunguko wa fedha. Na riba itatokana na fedha zingine zilizokuwepo tayari kwenye mzunguko kabla ya bil 100 kuingizwa. Enewei, najua hiki sicho ulichotaka kuelewa, tuendelee.....

Pili, kama kwa mara ya kwanza ndio nchi inaundwa kwa maana ya kwamba bil 100 ndio kwa mara ya kwanza zimeingizwa kwenye mzunguko kama vile hakukuwa kabisa na fedha zingine kabla basi hakuna riba itakayopatikana (kila kitu kiwe constant). Serikali inabaki kuwe ime supply fedha kwenye mfumo. Najua hiki ndicho haswa ulichokuwa unakiwaza.

Lakini, uhalisia ni kwamba fedha zilishaanza kuzunguka kitambo sana miaka nyuma sana. Ishu ya riba kwa serikali ni kama ishu ya kodi tu. Kwamba, serikali inarudisha fedha mikononi mwake halafu inarudisha tena kwenye mizunguko ya mikono ya wananchi wake.

Pointi ya kuzingatia ni hiki: Fedha zikiwa nyingi sana kwenye mzunguko (over supply) mfumuko wa bei unakuwa mkubwa na inaweza kuangusha serikali kutoka madarakani na maisha yanakuwa magumu sana. Ndio maana serikali hulazimika kurejesha fedha mikononi mwake mara kwa mara kwa njia ya kodi, ushuru, tozo, riba na njia yeyote yenye kufanikisha fedha kurudi serikalini.

Kumbuka zaidi: Sio dhamira ya Serikali wananchi wengi kuwa na fedha nyingi mikononi mwao....dhamira ni wawe na fedha kidogo tu kwa ajili ya kulipia bills. Fedha nyingi mikononi mwa wananchi wengi ni anguko la serikali.

Shukrani
 
Ok..hio bank baada ya kukopeshwa inakwenda kukopesha mfanyabiashara ambaye anakwenda kufanya biashara nje ya nchi lets say anakwenda kuuza kenya mahindi so akipata faida ndo anaileta huku bank..ni hela za kigeni
 
Nimependa swali. Ngoja nishiriki kujibu.

Kwanza, kabla ya kuchapisha bil 100 tayari kuna hela zingine kwenye mzunguko wa fedha. Na riba itatokana na fedha zingine zilizokuwepo tayari kwenye mzunguko kabla ya bil 100 kuingizwa. Enewei, najua hiki sicho ulichotaka kuelewa, tuendelee.....

Pili, kama kwa mara ya kwanza ndio nchi inaundwa kwa maana ya kwamba bil 100 ndio kwa mara ya kwanza zimeingizwa kwenye mzunguko kama vile hakukuwa kabisa na fedha zingine kabla basi hakuna riba itakayopatikana (kila kitu kiwe constant). Serikali inabaki kuwe ime supply fedha kwenye mfumo. Najua hiki ndicho haswa ulichokuwa unakiwaza.

Lakini, uhalisia ni kwamba fedha zilishaanza kuzunguka kitambo sana miaka nyuma sana. Ishu ya riba kwa serikali ni kama ishu ya kodi tu. Kwamba, serikali inarudisha fedha mikononi mwake halafu inarudisha tena kwenye mizunguko ya mikono ya wananchi wake.

Pointi ya kuzingatia ni hiki: Fedha zikiwa nyingi sana kwenye mzunguko (over supply) mfumuko wa bei unakuwa mkubwa na inaweza kuangusha serikali kutoka madarakani na maisha yanakuwa magumu sana. Ndio maana serikali hulazimika kurejesha fedha mikononi mwake mara kwa mara kwa njia ya kodi, ushuru, tozo, riba na njia yeyote yenye kufanikisha fedha kurudi serikalini.

Kumbuka zaidi: Sio dhamira ya Serikali wananchi wengi kuwa na fedha nyingi mikononi mwao....dhamira ni wawe na fedha kidogo tu kwa ajili ya kulipia bills. Fedha nyingi mikononi mwa wananchi wengi ni anguko la serikali.
Ahsanta sana Mkuu
 
Me nishamuelewa Ila nashindwa namna Ya Kujibu Ngoja Tusubr Wataalam Maan Kama pesa ndio kwanza ishachapishwa hy riba wanayotaka itatokea wap wakat wao wamechpsh b100 tu na sio b109
Au kwenye pesa za kigeni?
Nashukuru kwa kuelewa. Shida ipo hapo. Fedha inayotakiwa kurudi benki na benki kuu ni kubwa kuliko iliyotoka. Hii ziada watu waitoe wapi?
 
  • Thanks
Reactions: Ccc
Nimependa swali. Ngoja nishiriki kujibu.

Kwanza, kabla ya kuchapisha bil 100 tayari kuna hela zingine kwenye mzunguko wa fedha. Na riba itatokana na fedha zingine zilizokuwepo tayari kwenye mzunguko kabla ya bil 100 kuingizwa. Enewei, najua hiki sicho ulichotaka kuelewa, tuendelee.....

Pili, kama kwa mara ya kwanza ndio nchi inaundwa kwa maana ya kwamba bil 100 ndio kwa mara ya kwanza zimeingizwa kwenye mzunguko kama vile hakukuwa kabisa na fedha zingine kabla basi hakuna riba itakayopatikana (kila kitu kiwe constant). Serikali inabaki kuwe ime supply fedha kwenye mfumo. Najua hiki ndicho haswa ulichokuwa unakiwaza.

Lakini, uhalisia ni kwamba fedha zilishaanza kuzunguka kitambo sana miaka nyuma sana. Ishu ya riba kwa serikali ni kama ishu ya kodi tu. Kwamba, serikali inarudisha fedha mikononi mwake halafu inarudisha tena kwenye mizunguko ya mikono ya wananchi wake.

Pointi ya kuzingatia ni hiki: Fedha zikiwa nyingi sana kwenye mzunguko (over supply) mfumuko wa bei unakuwa mkubwa na inaweza kuangusha serikali kutoka madarakani na maisha yanakuwa magumu sana. Ndio maana serikali hulazimika kurejesha fedha mikononi mwake mara kwa mara kwa njia ya kodi, ushuru, tozo, riba na njia yeyote yenye kufanikisha fedha kurudi serikalini.

Kumbuka zaidi: Sio dhamira ya Serikali wananchi wengi kuwa na fedha nyingi mikononi mwao....dhamira ni wawe na fedha kidogo tu kwa ajili ya kulipia bills. Fedha nyingi mikononi mwa wananchi wengi ni anguko la serikali.

Shukrani
Shukrani mkuu. Nimeelewa kwa kiasi kikubwa.
 
Nimependa swali. Ngoja nishiriki kujibu.

Kwanza, kabla ya kuchapisha bil 100 tayari kuna hela zingine kwenye mzunguko wa fedha. Na riba itatokana na fedha zingine zilizokuwepo tayari kwenye mzunguko kabla ya bil 100 kuingizwa. Enewei, najua hiki sicho ulichotaka kuelewa, tuendelee.....

Pili, kama kwa mara ya kwanza ndio nchi inaundwa kwa maana ya kwamba bil 100 ndio kwa mara ya kwanza zimeingizwa kwenye mzunguko kama vile hakukuwa kabisa na fedha zingine kabla basi hakuna riba itakayopatikana (kila kitu kiwe constant). Serikali inabaki kuwe ime supply fedha kwenye mfumo. Najua hiki ndicho haswa ulichokuwa unakiwaza.

Lakini, uhalisia ni kwamba fedha zilishaanza kuzunguka kitambo sana miaka nyuma sana. Ishu ya riba kwa serikali ni kama ishu ya kodi tu. Kwamba, serikali inarudisha fedha mikononi mwake halafu inarudisha tena kwenye mizunguko ya mikono ya wananchi wake.

Pointi ya kuzingatia ni hiki: Fedha zikiwa nyingi sana kwenye mzunguko (over supply) mfumuko wa bei unakuwa mkubwa na inaweza kuangusha serikali kutoka madarakani na maisha yanakuwa magumu sana. Ndio maana serikali hulazimika kurejesha fedha mikononi mwake mara kwa mara kwa njia ya kodi, ushuru, tozo, riba na njia yeyote yenye kufanikisha fedha kurudi serikalini.

Kumbuka zaidi: Sio dhamira ya Serikali wananchi wengi kuwa na fedha nyingi mikononi mwao....dhamira ni wawe na fedha kidogo tu kwa ajili ya kulipia bills. Fedha nyingi mikononi mwa wananchi wengi ni anguko la serikali.

Shukrani
Asante. Maana kiukweli nilikuwa sijaelewa swali lake kwa uwezo wangu wa kufikiri😀. Jibu lako limenipa mwang wa swali lake
 
Back
Top Bottom