Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok nilichukua kama wik kuipata na hio bank n NMB ...na mjomba na bibi hawakupewa kabisa hio pesa mpaka leoHabari yenyewe umeandika general sana kama hauna uhakika na taarifa unayotoa. Ungetaja jina la bank na kuelezea walau for how long imechukua kufanikisha?...
kama pesa ilichukuliwa na mfanyakazi wa humo ndani ulitakiwa break yua kwanza iwe polisi. wizi huo.Benki mbona kama hakuna usalama Tena..
Hivi hiii hali ya kupoteza hela benki inatokana na nini maana mimi naona kama hii hali imezidi sasa.
Siku mmoja nimeingiziwa Benki pesa kama laki 5 hivi, wakati naenda kutoa nakuta hamna hata mia. Naenda kuuliza ndani wananiambia nimecheza michezo ya kubashiri wakati sina hata simu banking, nilipigwa na butwaa
Baada ya kupatwa na hasira na kufuatilia serious nikaambiwa pesa ilichukuliwa na mfanyakazi wa humo humo bank
Nikaenda hadi ngazi za juu wakanirudishia, sasa hili sakata limetokea tena kwa bibi yangu na mjomba wangu mmoja laki saba mwingine milioni moja
Ina maana bank hakuna usalama kabisa kiasi hicho...?
Hawakua wananipa mda ukifika pale wanakua biz na ww mpaka mda unaisha upo umo umo bank wanakuwambia uje tena keshkama pesa ilichukuliwa na mfanyakazi wa humo ndani ulitakiwa break yua kwanza iwe polisi. wizi
kama pesa ilichukuliwa na mfanyakazi wa humo ndani ulitakiwa break yua kwanza iwe polisi. wizi huo.
Benki Gani hiyo tuiepuke kuweka helaBenki mbona kama hakuna usalama Tena..
Hivi hiii hali ya kupoteza hela benki inatokana na nini maana mimi naona kama hii hali imezidi sasa.
Siku mmoja nimeingiziwa Benki pesa kama laki 5 hivi, wakati naenda kutoa nakuta hamna hata mia. Naenda kuuliza ndani wananiambia nimecheza michezo ya kubashiri wakati sina hata simu banking, nilipigwa na butwaa
Baada ya kupatwa na hasira na kufuatilia serious nikaambiwa pesa ilichukuliwa na mfanyakazi wa humo humo bank
Nikaenda hadi ngazi za juu wakanirudishia, sasa hili sakata limetokea tena kwa bibi yangu na mjomba wangu mmoja laki saba mwingine milioni moja
Ina maana bank hakuna usalama kabisa kiasi hicho...?
Kama ni Mimi wangeenda kunilipia mahakamani na riba yakemim nisha wai pigwa 380,000 wakanizungusha sana baada ya mwaka wakanilipa
Usiku wa Deni haukawii.Ila naionea huruma Arsenal kesho Allianz arena
NMB tawi gani? Mbona unafichaficha taarifa?
Uoga ulikupishanisha na gari la mshahara Mkuu, pole sana lakini.Daaaah yan ilinipa uwoga sana
Kwani mna mwana familia chenga chenga kutoka familia yenu yupo kwenye hilo bank🤔Benki mbona kama hakuna usalama Tena..
Hivi hiii hali ya kupoteza hela benki inatokana na nini maana mimi naona kama hii hali imezidi sasa.
Siku mmoja nimeingiziwa Benki pesa kama laki 5 hivi, wakati naenda kutoa nakuta hamna hata mia. Naenda kuuliza ndani wananiambia nimecheza michezo ya kubashiri wakati sina hata simu banking, nilipigwa na butwaa
Baada ya kupatwa na hasira na kufuatilia serious nikaambiwa pesa ilichukuliwa na mfanyakazi wa humo humo bank
Nikaenda hadi ngazi za juu wakanirudishia, sasa hili sakata limetokea tena kwa bibi yangu na mjomba wangu mmoja laki saba mwingine milioni moja
Ina maana bank hakuna usalama kabisa kiasi hicho...?
Uoga ulikupishanisha na gari la mshahara Mkuu,
suMkoa wilaya ya kasulu mkoa wa kigoma
Mkoa wilaya ya Kasulu ndo nini?Mkoa wilaya ya kasulu mkoa wa kigoma
Uwezekano wa rafiki wa karibu aliyedukua taarifa za ndugu je?Hapana
Bila kutaja bank huo ni unafiki na lamriKuna bank kama mbili waliwahi kunifanyia upumbavu huo!
Moja wafanyakazi waliagizia mzigo wa nguo kutokea Bangladesh, cha kushangaza nikapokea email inanitaka ni sign kuidhinisha malipo! Ilinichujua 3 weeks hela kurudishwa!
Wapili wao walinyima hela kabisaaaa na imeshaingia! Aisee hawa waliniomba moaka marriage certificate na mengineyo na hela sikuipata!! Ila baada ya wiki ilirudi ila cha mtema kuni walikipata yaani wao na waajiri wao! Walipata pigo!
Watatu hawa walinipa golden card ila kumbe wamezioda mbili! Nikitoa na wao wanatoa! Ila na wao hawatakaa wanisahau!
WIZI UPO KWENYE MABENKI!
BOT NA WIZARA INABIDI WAINGILIE KATI
Yaan hii imetokea kwa nyakati tofautii na sina ndugu wala rafiki japo kadi ililiwa na hapo ndo kimbembe kilipo anzia nlipoenda ndan wakanambia nrudi kesho wanipe wamenizungusha kunipa nkaenda kutoa naambiwa sina hata mia nkabak nashangaa kuuliza wananambia nmecheza michezo ya kubahatisha kitu ambacho sijawahi kufanyaUwezekano wa rafiki wa karibu aliyedukua taarifa za ndugu je?
Kwamba wanauchungulia mzigoBenki mbona kama hakuna usalama Tena..
Hivi hiii hali ya kupoteza hela benki inatokana na nini maana mimi naona kama hii hali imezidi sasa.
Siku mmoja nimeingiziwa Benki pesa kama laki 5 hivi, wakati naenda kutoa nakuta hamna hata mia. Naenda kuuliza ndani wananiambia nimecheza michezo ya kubashiri wakati sina hata simu banking, nilipigwa na butwaa
Baada ya kupatwa na hasira na kufuatilia serious nikaambiwa pesa ilichukuliwa na mfanyakazi wa humo humo bank
Nikaenda hadi ngazi za juu wakanirudishia, sasa hili sakata limetokea tena kwa bibi yangu na mjomba wangu mmoja laki saba mwingine milioni moja
Ina maana bank hakuna usalama kabisa kiasi hicho...?