Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
da nimelia sana kwanini hizo fursa hazinifikiiiHawakua wananipa mda ukifika pale wanakua biz na ww mpaka mda unaisha upo umo umo bank wanakuwambia uje tena kesh
NakaziaBila kutaja bank huo ni unafiki na lamri
Nilijua tu....hyo bank siku hzi imekuwa na wafanyakazi wakora wakoraOk nilichukua kama wik kuipata na hio bank n NMB ...na mjomba na bibi hawakupewa kabisa hio pesa mpaka leo
Umetisha mkuu jambo Kama ni la kweli hakuna haja ya kificha fichaNilijua tu....hyo bank siku hzi imekuwa na wafanyakazi wakora wakora