Nani asiyeiba katika hii nchi? Hata maparoko wanapora sadaka za Bikira Maria.
Wanakwambia hili ni FUKO LA MAMA BIKIRA MARIAA kumbe ni FUKO LA PAROKO.
Tunapigwa kila eneo, ukigeuka kushoto unakutana na kichapo cha tozo za samia na genge lake la akina MwiguRu.