Pete ya Ndoa na kidole maalum

Pete ya Ndoa na kidole maalum

pilau

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
1,595
Reaction score
451
Waungwana nini sababu ya PETE ya ndoa kuvikwa kaika kidole maalum, kinachoitwa kidole cha pete? au hii ni katika hali ya kuiga ustaarabu wa wenzetu wa magharibi? Wachungaji Mapadre na Mashekh na wale ma MC hawaelezei maana halisi ya wanandoa kuvishana pete katika kidole hicho kwa nini mtu asiveshwe kwenye kidole Gumba???? Wana JF Pamoja na michango na michanganuo kuhusu mada hii lakini kama kuna daktari au mwana bailojia naomba anifahamishe .......... nimeambiwa kuwa ........ asili na chanzo kikuu cha PETE YA NDOA kuwa na kidole maalumu ni kwamba kidole kinachoveshwa mkono wa kushoto kina mshipa uluokwenda moja kwa moja katika moyo wa binadamu, hivyo kuvesha pete katika kidole hicho ni ishara ya upendo wa mke na mume katika mahusiano ya ndoa ambao unaunganishwa na moyo wa kila mmoja kupitia ishara ya PETE narudia wana baiolojia na madaktari wanaojua ukweli kusu hili wanisaidie!
 
I wish ningeweza demostrate kwa video, ila ngoja nijaribu!

Unganisha palms zako, vidole viendane, yaani kidole cha kati cha kushoto kigusane na cha kulia cha kati!

Vikunje vidole vya kati peke yake!

Vikiwa hivyo hivyo vimekunjwa, Jaribu kuachanisha vidole vidogo, utaweza, gumba (piece of cake), vya kupointia pia utaweza lkn huwezi achanisha vidole vya pete kama vidole vya kati vikiwa vimekunjwa. Hiyo inasymbolize kuwa marriage hazipaswi kutenganishwa na kama vile kidole cha pete usivyoweza tenganisha na kidole cha mkono wa kulia.

Source: padre mmoja wakati wa mahubiri ya ndoa!
 
kidole ni kidole tu hata ukiamua kuivaa kwenye vidole vya miguu haibadilishi kuwa huyo ulofunga nae ndoa mna agano la milele(kwa wakristu)........... sema yapendeza zaidi kuvaa kidole hicho....na pia mapokeo.... ingekua mapokeo pete huvaliwa kidole gumba hata kizazi iki kingepokea hivyo...
 
I wish ningeweza demostrate kwa video, ila ngoja nijaribu!

Unganisha palms zako, vidole viendane, yaani kidole cha kati cha kushoto kigusane na cha kulia cha kati!

Vikunje vidole vya kati peke yake!

Vikiwa hivyo hivyo vimekunjwa, Jaribu kuachanisha vidole vidogo, utaweza, gumba (piece of cake), vya kupointia pia utaweza lkn huwezi achanisha vidole vya pete kama vidole vya kati vikiwa vimekunjwa. Hiyo inasymbolize kuwa marriage hazipaswi kutenganishwa na kama vile kidole cha pete usivyoweza tenganisha na kidole cha mkono wa kulia.

Source: padre mmoja wakati wa mahubiri ya ndoa!

Hii kitu ishawahi kuwekwa hapa jamvini siku za nyuma na niliijibu kama ulivyojibu with illustration.
Ngoja niisake hiyo post,then niiweke hapa tena
 
Hivi ndivyo nilijibu last time

Pia kuna hii nadharia:

*kidole Gumba = kinawakilisha wazazi wako
*Kidole kinachofuata baada ya gumba = Kinawakilisha ndugu wa tumbo moja
*Kidole cha katikati = kinakuwakilisha wewe mwenyewe (binafsi)
*Kidole cha nne = kinawakilisha mwenzi wa maisha
*Kidole kidogo cha mwisho = kinawakilisha watoto wako

Sasa jaribu kufanya hili zoezi dogo ili tuhakiki hiyo nadharia:

ATT00013.gif


Kutanisha vidole vya mikono yako kama ambavyo inaonekana katika hiyo picha hapo juu.

1. Jaribu kuachanisha ncha za vidole gumba (wazazi), utagundua vinaachana - Maana yake hutaishi na wazazi wako milele

2. Jaribu zoezi hilo kwa vidole vinavyofuata (ndugu), utagundua vinaachana - Maana yake hutaishi na nduguzo milele, kaka na dada zako watakuwa na maisha yao binafsi.

3. Jaribu kuachanisha kwa vidole vidogo vya mwisho (watoto), utagundua vinaachana - Maana yake hutaishi na wanao milele maana nao watakua na kuolewa au kuoa.

4. Mwisho, jaribu kuachanisha vidole vya PETE (mwenza), hahahah hutaweza ndugu maana hivyo vilishaandaliwa kuwa pamoja daima milele, maana yake mke na mume wataishi milele na hakuna cha kuwatenganisha. Na hii ndio sababu tunavaa pete kwenye kidole cha NNE.

"Don't hesitate to hit the like button for this clue"
 
Hivi ndivyo nilijibu last time

Pia kuna hii nadharia:

*kidole Gumba = kinawakilisha wazazi wako
*Kidole kinachofuata baada ya gumba = Kinawakilisha ndugu wa tumbo moja
*Kidole cha katikati = kinakuwakilisha wewe mwenyewe (binafsi)
*Kidole cha nne = kinawakilisha mwenzi wa maisha
*Kidole kidogo cha mwisho = kinawakilisha watoto wako

Sasa jaribu kufanya hili zoezi dogo ili tuhakiki hiyo nadharia:

ATT00013.gif


Kutanisha vidole vya mikono yako kama ambavyo inaonekana katika hiyo picha hapo juu.

1. Jaribu kuachanisha ncha za vidole gumba (wazazi), utagundua vinaachana - Maana yake hutaishi na wazazi wako milele

2. Jaribu zoezi hilo kwa vidole vinavyofuata (ndugu), utagundua vinaachana - Maana yake hutaishi na nduguzo milele, kaka na dada zako watakuwa na maisha yao binafsi.

3. Jaribu kuachanisha kwa vidole vidogo vya mwisho (watoto), utagundua vinaachana - Maana yake hutaishi na wanao milele maana nao watakua na kuolewa au kuoa.

4. Mwisho, jaribu kuachanisha vidole vya PETE (mwenza), hahahah hutaweza ndugu maana hivyo vilishaandaliwa kuwa pamoja daima milele, maana yake mke na mume wataishi milele na hakuna cha kuwatenganisha. Na hii ndio sababu tunavaa pete kwenye kidole cha NNE.

"Don't hesitate to hit the like button for this clue"
DIDINT KNEW THIS!daaah!nimejaribuje kuvitenganisha vimegoma i see!safi sana hii!ngoja nitaitoa kwa wanangu wa ndoa manake wananidatisha kweli kuwa wanataka kuachana wakti ndo kwanza hata gauni nililowasimamia ndoa yao hata halojanibana yani ni ndoa ya mwaka jana tu!
 
I wish ningeweza demostrate kwa video, ila ngoja nijaribu!

Unganisha palms zako, vidole viendane, yaani kidole cha kati cha kushoto kigusane na cha kulia cha kati!

Vikunje vidole vya kati peke yake!

Vikiwa hivyo hivyo vimekunjwa, Jaribu kuachanisha vidole vidogo, utaweza, gumba (piece of cake), vya kupointia pia utaweza lkn huwezi achanisha vidole vya pete kama vidole vya kati vikiwa vimekunjwa. Hiyo inasymbolize kuwa marriage hazipaswi kutenganishwa na kama vile kidole cha pete usivyoweza tenganisha na kidole cha mkono wa kulia.

Source: padre mmoja wakati wa mahubiri ya ndoa!

watu 8 ameshakusaidia kuillustrate mwayego!dah nimeipenda i see!
 
DIDINT KNEW THIS!daaah!nimejaribuje kuvitenganisha vimegoma i see!safi sana hii!ngoja nitaitoa kwa wanangu wa ndoa manake wananidatisha kweli kuwa wanataka kuachana wakti ndo kwanza hata gauni nililowasimamia ndoa yao hata halojanibana yani ni ndoa ya mwaka jana tu!


wajukuu washakuletea?
 
watu 8 ameshakusaidia kuillustrate mwayego!dah nimeipenda i see!

Me too, nilivyoisikia kwa mara ya kwanza!

watu8 thanks, nitakuLIKE nikingia PC; nikumbushe lkn!
 
Last edited by a moderator:
Ngoja niwaambie hii ambayo hamtaipenda:Wakati wa utawala wa Babeli,kulikua na imani ya kipagani,walikua wanaabudu sayari pamoja na nyota,hivyo walikua na miungu wengi,walikua 36,mungu mkuu alikua jua na alikua ana siku yake maalum ya kuabudiwa.Lakini pia miungu hii ilikua na alama tofauti ya kumuwakilisha kila mungu.Mungu jua ambae ndie alikua mkuu aliwakilishwa na alama ya circle,hivyo waumini hao walikua wanaivaa kidoleni kuonesha imani yao.Pete ilikua inavaliwa tangu nyakati hizo na ziliingizwa kwenye masuala ya ndoa na ibada ikipewa tafsiri kivuli lakini hiyo ni ishara ya imani kwa mungu jua.Hivyo ni upagani!
 
Labda wanaona mama sista duh still hataki kuitwa bibi now
wape habari unasubiri mjukuu itawasaidia kuelewana
na kweli inawezekana wananichukulia poa enh!itabidi ninze kutilia mkazo swala wa mjukuu sasa manake wanantia presha mimi kila siku kesi,binti juzi natoka kwenye send off namkuta kajaa tele chumbani kwa binti yangu analiaa hataki kurudi kwa mumewe,nikiuliza wala sipati jibu la kuleweka zaidi ya kunitaka nimpeleke kwa padri avunje ndoa ,kidgo nimwashe vibao,nilikuwa na tundovu kichwani kama vinne hiv,nikaona ngoja mr ampigie simu mumewe kuwa yupo huku!tukalala asubuhi namwuliza wala hanipi maelezo ya kueleweka imebidi tumtafute mumewe kesho kwa maelezo zaidi!
 
Like hell hatuipendi na binafsi nimechoose kutoiamini my dearest but not so humble Eiyer!
 
Last edited by a moderator:
Hivi ndivyo nilijibu last time

Pia kuna hii nadharia:

*kidole Gumba = kinawakilisha wazazi wako
*Kidole kinachofuata baada ya gumba = Kinawakilisha ndugu wa tumbo moja
*Kidole cha katikati = kinakuwakilisha wewe mwenyewe (binafsi)
*Kidole cha nne = kinawakilisha mwenzi wa maisha
*Kidole kidogo cha mwisho = kinawakilisha watoto wako

Sasa jaribu kufanya hili zoezi dogo ili tuhakiki hiyo nadharia:

ATT00013.gif


Kutanisha vidole vya mikono yako kama ambavyo inaonekana katika hiyo picha hapo juu.

1. Jaribu kuachanisha ncha za vidole gumba (wazazi), utagundua vinaachana - Maana yake hutaishi na wazazi wako milele

2. Jaribu zoezi hilo kwa vidole vinavyofuata (ndugu), utagundua vinaachana - Maana yake hutaishi na nduguzo milele, kaka na dada zako watakuwa na maisha yao binafsi.

3. Jaribu kuachanisha kwa vidole vidogo vya mwisho (watoto), utagundua vinaachana - Maana yake hutaishi na wanao milele maana nao watakua na kuolewa au kuoa.

4. Mwisho, jaribu kuachanisha vidole vya PETE (mwenza), hahahah hutaweza ndugu maana hivyo vilishaandaliwa kuwa pamoja daima milele, maana yake mke na mume wataishi milele na hakuna cha kuwatenganisha. Na hii ndio sababu tunavaa pete kwenye kidole cha NNE.

"Don't hesitate to hit the like button for this clue"

not yet. kwa nini nikunje vidole vya kati? what is the logic?
 
na kweli inawezekana wananichukulia poa enh!itabidi ninze kutilia mkazo swala wa mjukuu sasa manake wanantia presha mimi kila siku kesi,binti juzi natoka kwenye send off namkuta kajaa tele chumbani kwa binti yangu analiaa hataki kurudi kwa mumewe,nikiuliza wala sipati jibu la kuleweka zaidi ya kunitaka nimpeleke kwa padri avunje ndoa ,kidgo nimwashe vibao,nilikuwa na tundovu kichwani kama vinne hiv,nikaona ngoja mr ampigie simu mumewe kuwa yupo huku!tukalala asubuhi namwuliza wala hanipi maelezo ya kueleweka imebidi tumtafute mumewe kesho kwa maelezo zaidi!

Sasa inabidi mumewe apate twisheni
Au ni wale watoto wa vi memo?
hata mke atahitaji kupewa ki memo afanye nini lol
 
Hivi ndivyo nilijibu last time

Pia kuna hii nadharia:

*kidole Gumba = kinawakilisha wazazi wako
*Kidole kinachofuata baada ya gumba = Kinawakilisha ndugu wa tumbo moja
*Kidole cha katikati = kinakuwakilisha wewe mwenyewe (binafsi)
*Kidole cha nne = kinawakilisha mwenzi wa maisha
*Kidole kidogo cha mwisho = kinawakilisha watoto wako

Sasa jaribu kufanya hili zoezi dogo ili tuhakiki hiyo nadharia:

ATT00013.gif


Kutanisha vidole vya mikono yako kama ambavyo inaonekana katika hiyo picha hapo juu.

1. Jaribu kuachanisha ncha za vidole gumba (wazazi), utagundua vinaachana - Maana yake hutaishi na wazazi wako milele

2. Jaribu zoezi hilo kwa vidole vinavyofuata (ndugu), utagundua vinaachana - Maana yake hutaishi na nduguzo milele, kaka na dada zako watakuwa na maisha yao binafsi.

3. Jaribu kuachanisha kwa vidole vidogo vya mwisho (watoto), utagundua vinaachana - Maana yake hutaishi na wanao milele maana nao watakua na kuolewa au kuoa.

4. Mwisho, jaribu kuachanisha vidole vya PETE (mwenza), hahahah hutaweza ndugu maana hivyo vilishaandaliwa kuwa pamoja daima milele, maana yake mke na mume wataishi milele na hakuna cha kuwatenganisha. Na hii ndio sababu tunavaa pete kwenye kidole cha NNE.

"Don't hesitate to hit the like button for this clue"

hata nikikunja vidole vidogo in inside out, bado ni ngumu kuachiana...kwa hiyo, kidole ni kidole, chochote can serve the purpose.
 
Kuna wengine watauliza ulazima wa pete ya ndoa kwanza kabla ya kidole cha kuvaliwa.

Usipovaa pete ya ndoa ndio "ndoa haitadumu?"

Na mantiki yake ni nini?
 
Sasa inabidi mumewe apate twisheni
Au ni wale watoto wa vi memo?
hata mke atahitaji kupewa ki memo afanye nini lol
na hiyo twisheni kijana namleta kwako The Boss kishakwa mtambuzi halafu kwa dark city halafu kwa pacha wangu Snowballna binti nampeleka kwa teacher mwalimu gfsonwin halafu mwali kishanyumba kubwa then kwa dadangu wa kingoni Fixed point
 
Kuna wengine watauliza ulazima wa pete ya ndoa kwanza kabla ya kidole cha kuvaliwa.

Usipovaa pete ya ndoa ndio "ndoa haitadumu?"

Na mantiki yake ni nini?

Zinavunjika kama zinavyofungwa pamoja na white gold rings!

Nafikiri kwa maisha ya sasa, pete ya ndoa husaidia kusema kwa nguvu kuwa "I am not available" basi, ingawa bado kutangaza huko hakumfanyi mtu kuwa unavailable if s/he want to be 'available'.

Mwisho wa siku twaweza sema ni utamaduni tu na ibada/ritual kwa baadhi ya madhehebu!
 
Back
Top Bottom