za masiku?:focus:
Huwa wanaziona sana lakini huwa wanajifanya kama hazina maana kwa muda huo. Akitoka pale ndo anamkumbuka mwenza wake.
Na wakikutana na pete za ndoa wote mkononi watu hudhani wameoana kumbe wote wezi mweeeee
Hahaha wewe mchokozi hivi Burglars hawajaichukua ya kwako hebu nyoosha vidole tuone nikikuta hauna au haipo the lawyer will be called on the spot.
Can't complain now, ila ya kwangu sijui iko wapi wakati naenda kuoga niliivua nimerudi nakuta haipo au uliitoa??
Can't complain now, ila ya kwangu sijui iko wapi wakati naenda kuoga niliivua nimerudi nakuta haipo au uliitoa??
Relax now nimeiona ilkuwa imedondoka chini ya meza lol!!!What?????