Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
Sasa pete tu ndo inakutatiza wakati siku hizi mke na kimada wote wanakalishwa chumba kimoja na bado wahusika hawaoni aibu?
Nwyz wengi hawaridhiki na ndoa zao...tamaa zinawasumbua na hawajatulia sasa wakikutana na wakufanana nao huko nje pete wanaiona kama mkufu tu!!Sio zaidi ya urembo kwao.
Nwyz wengi hawaridhiki na ndoa zao...tamaa zinawasumbua na hawajatulia sasa wakikutana na wakufanana nao huko nje pete wanaiona kama mkufu tu!!Sio zaidi ya urembo kwao.