Egyps-women
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 497
- 107
Kha!! hapa luv kweli umeingia choo cha kiume.
Shemeji kutovaa pete ; akihofia kumpigwa shoti!
Kuna shemeji yangu ni fundi umeme yeye amemwambia dada yangu hataki kuvaa pete kwa sababu ya nature ya kazi yake kwamba akivaa pete anaongeza hatari ya kupigwa na shoti ya umeme.
Imekuwa kama kasumba siku hizi, wadada na wamama wengi walio katika ndoa huwa hawapendi kuvaa pete za ndoa zao. Hii hata kwa wakaka na wababa pete za ndoa zimekuwa kama ni sumu kwao pia. Ajabu wadada wasiokuwa na ndoa utawaona wametinga pete tena kwenye kile kidole cha kuvaliwa pete ya ndoa. Hivi pete zinaficha nini? Kuvaa ama kutokuvaa kunabadili heshima ya mtu?
...Inawezekana wakiwa wanamegwa/kumega na pete kidoleni handasi zinapotea maana anahisi kama mwenye mali anamkodolea mimacho!Kuna jamaa angu ana Guest House anasema siku za week end watu wanasahau sana pete za ndoa mjengoni.
Watumiaji wa hii kitu jamani tunaomba ufafanuzi ukivua ndo tuseme unakuwa humsaliti mwenzio?
"Kama anampenda mkewe angeivaa na kuiua wakati wa kazi ""
swali langu lipo hapo, kuvaa pete kunahuckanaje na kupenda/upendo wa mtu alionao kwa mtu wake?
Ikitoke hv ata ningekuwa mimi ningevua poleYangu niliiamua kuivua baada ya Mr. kuvua yake kisa eti anashikashika maji sana. Ok, mbona basi wkend au siku mnapotoka wote asiivae,yeye niwakukumbushwa tuu kila siku.
Baba Enock Pete ni alama tu ya upendo na uaminifu. Kweli kabisa but nadhani kwa siku hizi sidhani kama pete za ndoa zinabeba maana halisi ya ndoa na ndio maana mtu haoni haya kutongoza au kukubali kutongozwa yukingali na pete ya ndoa. Za siku hizi ni mapambo tu!
Kuna jamaa angu ana Guest House anasema siku za week end watu wanasahau sana pete za ndoa mjengoni.
Watumiaji wa hii kitu jamani tunaomba ufafanuzi ukivua ndo tuseme unakuwa humsaliti mwenzio?
Ikitoke hv ata ningekuwa mimi ningevua pole
Mhhffffffffffffffff!!Licha ya hilo shostito, madai mengine kwa yeye ni msabato eti pete kwao ni mwiko...ok mbona ulizileta mbele kiapo na tukazivaaa. Na pia kwa nini siku hio hio asiseme tuzivue wote maana hazikubaliwi na wasabato. Ndoa yenyewe serikalini...usabato wapi na wapi. Uwizi mtupu! acha tuwege free na sisi tukatongozegwe mweeeeh!. Watu weeeeeeeeeeee :target: hakuna kulala...THIS IS THE 20TH CENTUARY...let the sleep dog sleep and the one awake let it bake, whuu, whuuu, whuuuuuuuuuu.