Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #121
si kila mwanasheria ni WakiliMzee mdee si anaweza kujitetea na akatetea pisi yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
si kila mwanasheria ni WakiliMzee mdee si anaweza kujitetea na akatetea pisi yake
kwa uongo mwingine kama huu wasiliana na mtoa koment hii @ erthrocyte.com😂😂kuna kituo kimoja Temeke kilitwa B , maana kulikuwa na A , B , C , na D , Msimamizi aliniambia kwamba jumla ya wapiga kura walikuwa 150 lakini wapiga kura waliojitokeza hawakufika 100 , Tundu Lissu alipata kura 76 , Magufuli 16 , zilizobaki waligawana wengine .
lakini nje ya kituo hicho ikabandikwa Magufuli 374 , Tundu Lissu 26 , huku ndio kuungwa mkono kwa ccm unakokusema ?
Zamani zetui ilkuwa ni lazima uwe na kadi ya ccm na cheti cha ubatizo ili upate huduma,mfano passport,ajira etc.so wengi tunazo mpaka Leo ingawa huwa hatuzilipii ada.je unafaham kwamba nimesimamia uchaguzi huu 2020??
Unataka useme kipindi unapga kura ulipewa taarifa kuwa wangapi wamepiga kura?? Wewe kama nani kwanza??
Propaganda za kishamba kabisa mkuu🤔
Any way nilichogundua wewe pia ni ccm dam zaidi hata ya polepole😂😂
Kama sio kadi ya nini kama mwanamapinduzi kweli??
Hii nchi yetu Kuna watu ndio wenye maamuzi juu ya hatma ya kila mtanzania. Yaani wanaiendesha nchi watakavyo waoBaada ya muda tutahabarishwa kwamba DPP hana nia ya kuendelea na kesi hiyo.
Hahaha usichoelewa nini, kibatala wakili wa chadema analipwa na chadema kwenye hiyo kesi, Halima Mdee na wenzake kama anavyojitambulisha mwenyewe wameshafukuzwa uanachama wa chadema sasa kwanini Kibatala aendelee kuwatetea na wao wameshafukuzwa chadema no ccm sasa.Ni professional misconduct of the highest order kama alikuwa wakili binafsi anayelipwa na kina Mdee, kwa sababu yanayotokea kwenye chama hayamhusu Kibatala.
Kama walikuwa wanatetewa in lieau of their CHADEMA membership, na walipata matatizo wakiwa kazini CHADEMA na wanafadhiliwa gharama za uwakili na chama basi wangesema CHADEMA imeondoa ufadhili wake kwa watuhumiwa.
Ili kusudi Kibatala asimomonyoe hadhi na misingi ya uwakili kwa kuachia kazi mid stream.
Kuna somo la mwaka wa pili linaitwa legal ethics, linakataza mambo kama haya, lakini Tanzania hakuna anayeheshimu hadhi ya profession.
Akikumbuka darasa aliloishia atakujibu, ila najua atasingizia mimba iliyomuingia kwa bahati mbaya ilimfukuzisha shule.😆😆😆 umeishia darasa la ngapi ?
Siku naamini kibatala sio mweledi,anifunze Kwa magwiji akina Ringo Tenga na LamwaiView attachment 1640662
Taarifa kutoka Mahakama ya Kisutu zinaeleza kwamba Wakili msomi Peter Kibatala aliyekuwa wakili wa utetezi wa viongozi wa CHADEMA walioshitakiwa kwa Tuhuma za kufanya fujo kwenye Gereza la Segerea, amejiondoa kuwatetea baadhi ya washitakiwa kwenye kesi hiyo wakiwemo waliokuwa wanachama wa CHADEMA Ndugu Halima Mdee na Ester Bulaya
Hapana!! Kwa maana hakuna mkate mgumu mbele ya chai.Halima Na Wenzake Ni Wa Kijani
Mpaka Sasa Hivi Hakuna Gumu Lolote Mbele Yao
Nasema Uongo Ndugu Zangu!!
[emoji16][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji16][emoji23][emoji848][emoji848]
SureAjitoe tu, kwasababu Jamuhuri soon itaifuta hiyo kesi
si kila mwanasheria ni Wakili
😂 habari za asubuhi mkuuZamani zetui ilkuwa ni lazima uwe na kadi ya ccm na cheti cha ubatizo ili upate huduma,mfano passport,ajira etc.so wengi tunazo mpaka Leo ingawa huwa hatuzilipii ada.
Mwaka huu atakoma, endapo chadema watagomea ruzuku sijui atalipwa na nani kwenye vikesi vya wanachama.Kibatala ana akili sana.