Peter Kibatala ajitoa kuwatetea Bulaya na Mdee kwenye kesi ya kuvamia Gereza la Segerea inayowakabili

Peter Kibatala ajitoa kuwatetea Bulaya na Mdee kwenye kesi ya kuvamia Gereza la Segerea inayowakabili

View attachment 1640662

Taarifa kutoka Mahakama ya Kisutu zinaeleza kwamba Wakili msomi Peter Kibatala aliyekuwa wakili wa utetezi wa viongozi wa CHADEMA walioshitakiwa kwa Tuhuma za kufanya fujo kwenye Gereza la Segerea, amejiondoa kuwatetea baadhi ya washitakiwa kwenye kesi hiyo wakiwemo waliokuwa wanachama wa CHADEMA Ndugu Halima Mdee na Ester Bulaya
Huenda tukasikia Ndugai amemfutia Kibatala leseni ya uwakili! Siku hizi lolote linawezekana.
 
Huenda tukasikia Ndugai amemfutia Kibatala leseni ya uwakili! Siku hizi lolote linawezekana.
FB_IMG_1578677028602.jpg
 
View attachment 1640662

Taarifa kutoka Mahakama ya Kisutu zinaeleza kwamba Wakili msomi Peter Kibatala aliyekuwa wakili wa utetezi wa viongozi wa CHADEMA walioshitakiwa kwa Tuhuma za kufanya fujo kwenye Gereza la Segerea, amejiondoa kuwatetea baadhi ya washitakiwa kwenye kesi hiyo wakiwemo waliokuwa wanachama wa CHADEMA Ndugu Halima Mdee na Ester Bulaya
SI ASEME TUUU HII KESI YA AKINA MDEE HAIWEZI NA USHAIDIII UNAONESHA WAZI HIYO KESI HAWEZI SHINDA. MAWAKILI KAMA AKINA KIBATALA WAPENDA FEDHA SAANA BAADA YAKUONA KESI NGUMU NDO KUJITOA.
 
SI ASEME TUUU HII KESI YA AKINA MDEE HAIWEZI NA USHAIDIII UNAONESHA WAZI HIYO KESI HAWEZI SHINDA. MAWAKILI KAMA AKINA KIBATALA WAPENDA FEDHA SAANA BAADA YAKUONA KESI NGUMU NDO KUJITOA.
Tatizo ni uchovu wa akili au njaa hapo Lumumba😁?
You got a seriously paranoid!
 
😆😆😆 umeishia darasa la ngapi ?
SHIDA SIO KUISHIA DARASA LANGAPII. KIBATARA NIWAKILI WAKUWATETEA WATANZANIA WOTE WENYE UHITAJI NA HUDUMA YAKE. KIMA SIKUSHINDWA KWAKE JUU YA KESI HIZO, KITU GANI KIMEMUFANYA ASIEÑDELEE KUWATETEA WATEJA WAKE HAO? AU YUKO KISIASA ZAIDI? KAMA YUKO KISIASA HAPO ATAKUWA HAJAWATENDEA HAKI WAKINA MAMA HAO
 
Dunia hugeuka haraka sana
Leo hii ukiambiwa Halima Mdee yule yule Ni Vugu vugu unabaki unajiuliza kwamba je ni nani anaweza kuhimili nguvu ya upepo mkali wa utamu wa madaraka na pesa???

ukipata haya unatakiwa uwaheshimu Sana Akina MANDELA...walihimili vishindo vyote vya ushawishi...
 
View attachment 1640662

Taarifa kutoka Mahakama ya Kisutu zinaeleza kwamba Wakili msomi Peter Kibatala aliyekuwa wakili wa utetezi wa viongozi wa CHADEMA walioshitakiwa kwa Tuhuma za kufanya fujo kwenye Gereza la Segerea, amejiondoa kuwatetea baadhi ya washitakiwa kwenye kesi hiyo wakiwemo waliokuwa wanachama wa CHADEMA Ndugu Halima Mdee na Ester Bulaya
There will be no guilty though,


DPP office will nullify the case
 
Wabunge wa viti maalumu Halima James Mdee, Esther Bulaya na Jesca Kishoa wameachana na Wakili wao wa zamani Peter Kibatala aliyekuwa akiwawakilisha katika kesi inayowakabili mahakama ya kisutu.

Leo wabunge hao wamewakilishwa na Wakili wao mpya kesi yao ilipotajwa katika mahakama ya kisutu.

Source Eatv habari.

Maendeleo hayana vyama!
 
Wabunge wa viti maalumu Halima James Mdee, Esther Bulaya na Jesca Kishoa wameachana na Wakili wao wa zamani Peter Kibatala aliyekuwa akiwawakilisha katika kesi inayowakabili mahakama ya kisutu.

Leo wabunge hao wamewakilishwa na Wakili wao mpya kesi yao ilipotajwa katika mahakama ya kisutu.

Source Eatv habari.

Maendeleo hayana vyama!
Wamchukue Miss Natafuta ni wakili mzuri sana atawasaidia, waachane na huyo waliyempata
 
View attachment 1640662

Taarifa kutoka Mahakama ya Kisutu zinaeleza kwamba Wakili msomi Peter Kibatala aliyekuwa wakili wa utetezi wa viongozi wa CHADEMA walioshitakiwa kwa Tuhuma za kufanya fujo kwenye Gereza la Segerea, amejiondoa kuwatetea baadhi ya washitakiwa kwenye kesi hiyo wakiwemo waliokuwa wanachama wa CHADEMA Ndugu Halima Mdee na Ester Bulaya
Hata hivyo kesi yenyewe ishaisha maana wameshajiunga na wenye kesi.
 
Back
Top Bottom