Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Sijatetea Mahakama bali nimefafanua , kwanza unatakiwa ufahamu kwamba Chadema inasimamia kesi zote zinazowakabili wanachama wake , sasa mtu anapoondoka ama kutimuliwa uanachama kimsingi hawezi kutetewa na Chadema tena .WEWE Erythrocyte, of all the people, leo umekuwa wa kuitetea mahakama ya kibongo? What's the world come to?
Hili liliwahi kutokea kwa Mashinji na Wema Sepetu