Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #61
Yuko tegemeo lao anaitwa MsandoCCM si inamawakili wa kutosha basi wawatetee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko tegemeo lao anaitwa MsandoCCM si inamawakili wa kutosha basi wawatetee
Anaitwa nani?Ila senior associate wake kwenye chamber yake ni CCM pure
Awateteteeyuko tegemeo lao anaitwa Msando
Ajitoe asijitoe wenye gereza ndio wanajua kama watataka kesi au wasitake kesi hahaa anajisumbua wakiliView attachment 1640662
Taarifa kutoka Mahakama ya Kisutu zinaeleza kwamba Wakili msomi Peter Kibatala aliyekuwa wakili wa utetezi wa viongozi wa CHADEMA walioshitakiwa kwa Tuhuma za kufanya fujo kwenye Gereza la Segerea, amejiondoa kuwatetea baadhi ya washitakiwa kwenye kesi hiyo wakiwemo waliokuwa wanachama wa CHADEMA Ndugu Halima Mdee na Ester Bulaya
Guaranteed.Baada ya muda tutahabarishwa kwamba DPP hana nia ya kuendelea na kesi hiyo.
Wameshaunga mkono juhudi kesi hakuna, asipoteze muda kuna watanzania wengine wanamuhutaji.Ni professional misconduct of the highest order kama alikuwa wakili binafsi anayelipwa na kina Mdee, kwa sababu yanayotokea kwenye chama hayamhusu Kibatala.
Kama alikuwa anatetewa in lieau of their CHADEMA membership, na alipata matatizo akiwa kazini CHADEMA na anatetewa na wakili wa chama au anafadhiliwa gharama za uwakili na chama basi wangesema CHADEMA imeondoa ufadhili wake kwa watuhumiwa.
Ili kusudi Kibatala asimomonyoe hadhi na misingi ya uwakili kwa kuachia kazi mid stream.
Kuna somo la mwaka wa pili linaitwa legal ethics, linakataza mambo kama haya, lakini Tanzania hakuna anayeheshimu hadhi ya profession.
Usitafute amani wakati wa vitaNi professional misconduct of the highest order kama alikuwa wakili binafsi anayelipwa na kina Mdee, kwa sababu yanayotokea kwenye chama hayamhusu Kibatala.
Kama alikuwa anatetewa in lieau of their CHADEMA membership, na alipata matatizo akiwa kazini CHADEMA na anatetewa na wakili wa chama au anafadhiliwa gharama za uwakili na chama basi wangesema CHADEMA imeondoa ufadhili wake kwa watuhumiwa.
Ili kusudi Kibatala asimomonyoe hadhi na misingi ya uwakili kwa kuachia kazi mid stream.
Kuna somo la mwaka wa pili linaitwa legal ethics, linakataza mambo kama haya, lakini Tanzania hakuna anayeheshimu hadhi ya profession.
Hii ndio inayosubiriwa kwa hamuBaada ya muda tutahabarishwa kwamba DPP hana nia ya kuendelea na kesi hiyo.
Kumuamini mwanamke nikujitwika ndoo ya motoKale ka msemo ka "Never trust a woman" nakaona kama kana ukweli mkuu. Maana tulianza kuaminishwa kwamba mwanamke ni mgumu mno kushawishika iwe kwa hela au kwa maneno - akiwa na msimamo wake huwa hayumbi yumbi -- mmmhh nakubali sasa kwamba wahenga walikuwa werevu sana namna ya kudeal na hawa mama zetu... dont give them 100% utalia bila kupigwa.
Hakuna kesi tena hapo.Yes, Naamini ametumia vema 'usomi'wake kutambua consequences za kuwatetea hao wasaliti.
Wapambane na hali yao au kama vipi wamtafute Muuzasura Alberto asimamie 'show' yao.
Msema kweri ni mpenzi wa Mungu. Na mm lazima niwaambie ukweri tu.
Wabongo hawajawahi kua na jema,kama vile mashabiki wa simba na yanga vile ukiwa simba watakusifu hata kwa sifa ambazo huna ukishatoka utaambiwa mara galasa,mara utopolo na vile.
Tujifunze kuongea kidogo jamani sidhani kama akina Mdee wanadhambi kiasi cha kudharauliwa hata na watu ambao hawajawahi kupiga kura.Tuheshimu watu pamoja na mapungufu yao.
ni hivi , CHADEMA imetapakaa nchi nzima , siyo hapa JF pekeeNimenote kitu; inshort hapa watoto wa ufipa wamejazana sana hapa jf🤔🤔 yani uzi wakishamba kama huu kisa anaye ongelewa ni hatar wao basi wanaushadadiaaa😂
nchi nzima ni maeneo gani hapa tz?? Au lumumba ndio panaitwa nchi nzima nowdayz🤔🤔ni hivi , CHADEMA imetapakaa nchi nzima , siyo hapa JF pekee
Mkuu we ni msahaulifu sana.rejea ile kesi ya kina mbowe walipotiwa hatiani kifungo au faini.nchi nzima ni maeneo gani hapa tz?? Au lumumba ndio panaitwa nchi nzima nowdayz🤔🤔
Akili gani wakati muda si mrefu dpp hatakua na haja ya kuendelea na hiyo kesi?Kibatala ana akili sana.