Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,271
Yes, hakuna sababu ya kupoteza muda maana sasa kesi itaendeshwa kwa upendeleo na maelekezo ya kihutuView attachment 1640662
Taarifa kutoka Mahakama ya Kisutu zinaeleza kwamba Wakili msomi Peter Kibatala aliyekuwa wakili wa utetezi wa viongozi wa CHADEMA walioshitakiwa kwa Tuhuma za kufanya fujo kwenye Gereza la Segerea, amejiondoa kuwatetea baadhi ya washitakiwa kwenye kesi hiyo wakiwemo waliokuwa wanachama wa CHADEMA Ndugu Halima Mdee na Ester Bulaya