Peter Kibatala ajitoa kuwatetea Bulaya na Mdee kwenye kesi ya kuvamia Gereza la Segerea inayowakabili

Peter Kibatala ajitoa kuwatetea Bulaya na Mdee kwenye kesi ya kuvamia Gereza la Segerea inayowakabili

View attachment 1640662

Taarifa kutoka Mahakama ya Kisutu zinaeleza kwamba Wakili msomi Peter Kibatala aliyekuwa wakili wa utetezi wa viongozi wa CHADEMA walioshitakiwa kwa Tuhuma za kufanya fujo kwenye Gereza la Segerea, amejiondoa kuwatetea baadhi ya washitakiwa kwenye kesi hiyo wakiwemo waliokuwa wanachama wa CHADEMA Ndugu Halima Mdee na Ester Bulaya
Yes, hakuna sababu ya kupoteza muda maana sasa kesi itaendeshwa kwa upendeleo na maelekezo ya kihutu
 
Ni professional misconduct of the highest order kama alikuwa wakili binafsi anayelipwa na kina Mdee, kwa sababu yanayotokea kwenye chama hayamhusu Kibatala...
Atetee nini mkuu wakati DPP atafanya yake.. ni suala la muda tu.. kama mtuhumiwa alitolewa usiku wa manane gerezani na kwenda kuapa kuwa mtunga sheria wa nchi, je hao ambao wapo uraiani tayari... hakuna gumu lolote kwa DPP linaloweza kumshinda!!
 
View attachment 1640662

Taarifa kutoka Mahakama ya Kisutu zinaeleza kwamba Wakili msomi Peter Kibatala aliyekuwa wakili wa utetezi wa viongozi wa CHADEMA walioshitakiwa kwa Tuhuma za kufanya fujo kwenye Gereza la Segerea, amejiondoa kuwatetea baadhi ya washitakiwa kwenye kesi hiyo wakiwemo waliokuwa wanachama wa CHADEMA Ndugu Halima Mdee na Ester Bulaya
Huyu kweli no msomi, maana kashajua tayari hakutakuwa na kesi tena endapo kina Mdee watazamia..... Mazima
 
Halima Na Wenzake Ni Wa Kijani
Mpaka Sasa Hivi Hakuna Gumu Lolote Mbele Yao
Nasema Uongo Ndugu Zangu!!
[emoji16][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji16][emoji23][emoji848][emoji848]
Nasema uongo ndugu zangu, lazima tukubaliane ili kusudi tupate maendeleo.
 
Msema ukweli ni mpenzi wa mungu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Halima Na Wenzake Ni Wa Kijani
Mpaka Sasa Hivi Hakuna Gumu Lolote Mbele Yao
Nasema Uongo Ndugu Zangu!!
[emoji16][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji16][emoji23][emoji848][emoji848]
 
Halima Na Wenzake Ni Wa Kijani
Mpaka Sasa Hivi Hakuna Gumu Lolote Mbele Yao
Nasema Uongo Ndugu Zangu!!
😁😂😄😄😄😁😂🤔🤔
Wananchi wanaitikia Kweliii ni uongo.
 
Kale ka msemo ka "Never trust a woman" nakaona kama kana ukweli mkuu. Maana tulianza kuaminishwa kwamba mwanamke ni mgumu mno kushawishika iwe kwa hela au kwa maneno - akiwa na msimamo wake huwa hayumbi yumbi -- mmmhh nakubali sasa kwamba wahenga walikuwa werevu sana namna ya kudeal na hawa mama zetu... dont give them 100% utalia bila kupigwa.
 
View attachment 1640662

Taarifa kutoka Mahakama ya Kisutu zinaeleza kwamba Wakili msomi Peter Kibatala aliyekuwa wakili wa utetezi wa viongozi wa CHADEMA walioshitakiwa kwa Tuhuma za kufanya fujo kwenye Gereza la Segerea, amejiondoa kuwatetea baadhi ya washitakiwa kwenye kesi hiyo wakiwemo waliokuwa wanachama wa CHADEMA Ndugu Halima Mdee na Ester Bulaya
Hakuna kesi Tena hapo
 
View attachment 1640662

Taarifa kutoka Mahakama ya Kisutu zinaeleza kwamba Wakili msomi Peter Kibatala aliyekuwa wakili wa utetezi wa viongozi wa CHADEMA walioshitakiwa kwa Tuhuma za kufanya fujo kwenye Gereza la Segerea, amejiondoa kuwatetea baadhi ya washitakiwa kwenye kesi hiyo wakiwemo waliokuwa wanachama wa CHADEMA Ndugu Halima Mdee na Ester Bulaya
Wabongo hawajawahi kua na jema,kama vile mashabiki wa simba na yanga vile ukiwa simba watakusifu hata kwa sifa ambazo huna ukishatoka utaambiwa mara galasa,mara utopolo na vile.

Tujifunze kuongea kidogo jamani sidhani kama akina Mdee wanadhambi kiasi cha kudharauliwa hata na watu ambao hawajawahi kupiga kura.Tuheshimu watu pamoja na mapungufu yao.
 
View attachment 1640662

Taarifa kutoka Mahakama ya Kisutu zinaeleza kwamba Wakili msomi Peter Kibatala aliyekuwa wakili wa utetezi wa viongozi wa CHADEMA walioshitakiwa kwa Tuhuma za kufanya fujo kwenye Gereza la Segerea, amejiondoa kuwatetea baadhi ya washitakiwa kwenye kesi hiyo wakiwemo waliokuwa wanachama wa CHADEMA Ndugu Halima Mdee na Ester Bulaya
Watetewe na Polepole
 
Wabongo hawajawahi kua na jema,kama vile mashabiki wa simba na yanga vile ukiwa simba watakusifu hata kwa sifa ambazo huna ukishatoka utaambiwa mara galasa,mara utopolo na vile.Tujifunze kuongea kidogo jamani sidhani kama akina Mdee wanadhambi kiasi cha kudharauliwa hata na watu ambao hawajawahi kupiga kura.Tuheshimu watu pamoja na mapungufu yao.
Hii ni taarifa ya Kibatala kujiondoa kuwatetea, sijaona tusi lolote
 
Back
Top Bottom