Peter Kibatala alibeba kisheria suala la mwananchi aliyeamuliwa kuwekwa ndani na Waziri Jerry Silaa huko Morogoro

Peter Kibatala alibeba kisheria suala la mwananchi aliyeamuliwa kuwekwa ndani na Waziri Jerry Silaa huko Morogoro

Another micscopotorial misconduct also I don't remember that chapter in law school.
 
Nilichokiona hapa waziri, ameshindwa kumili hisia zake,yaan waziri aliweka kichwani kwake kwamba yeye ni waziri hivyo alipaswa kuheshimiwa hata pale alipokosea

Lakini hii haimuondelei weledi wake katika kazi,,ni mchapa kazi mzuri ila ajifunze kuhimili hisia zake
 
Nilichokiona hapa waziri, ameshindwa kumili hisia zake,yaan waziri aliweka kichwani kwake kwamba yeye ni waziri hivyo alipaswa kuheshimiwa hata pale alipokosea

Lakini hii haimuondelei weledi wake katika kazi,,ni mchapa kazi mzuri ila ajifunze kuhimili hisia zake
Very true one of the best performers so far ameokoa haki za watu wengi sana na amehimili mikiki mingi sana kutoka kwa wezi wa ardhi ambao ni matajiri
 
Very true one of the best performers so far ameokoa haki za watu wengi sana na amehimili mikiki mingi sana kutoka kwa wezi wa ardhi ambao ni matajiri
Nakubaliana na wewe kabisa,bahati mbaya watu wengi hawalioni hili,kwao kosa moja ni kukuona haufai

Tofauti na gen z kenya,wabongo wakiwa nyuma ya key body wanashida sana
 
Amewahi kuendesha hata kesi moja, natamani kujua. Na huu uwakili ameupata akiwa tayari ana cheo na pesa?

Kwa Tanzania yetu na mfumo wetu wa elimu, watu waliosoma baada ya kuwa na vyeo au pesa, elimu zao ni za kuwa nazo makini kidogo.
Sindiyo haya maonyesho yake
Kuvunja gorofa kukazia hukumu iliyo elekeza mwenye gorofa alionea

Hapo hapo anazuia amri ya Mahakama ya nyumba 80 zilizojengwa kwa yule Mama kwa kulazimisha mama alipwe kwa bei ya soko na halmashauri impe Eneo jingine kumfidia!!

Ndiyo yupo kuonyesha ujuwaji wake

Aibu tupu
 
Acha CCM iendelee kuwanyoosha wote walioipigia kura...
 
Mr. Jerry Silaa and You call Yourself a "Lawyer"?!.

Yaani a member of Tanganyika Law Society can behave in this most abhorrent way;like seriously?

My brother Alberto Msando: don't You talk to these Junior people [honestly I cannot refer to him as a lawyer] to school them on how to behave when power is lent to them on a temporary basis?

Na the OCD carries out such an illegal "order': na hapo huyo OCD utaambiwa "kasoma Sheria".

Waziri tangu lini na kwa sheria ipi ana mamlaka ya kuamuru a Policeman amu-arrest mtu, tena by "mchukue huyu"!?!.

The rest we will organize.

Unampeleka mtu police, Hana jalada la RB au enquiry na wala hujamkamata on spot alifanya uhalifu sijui unamuwekaje mahabusi, akikufia as OCD sijui unajibu nini?
 
Mheshimiwa waziri pitia huu uzi wangu,,utakusadia kuepuka aibu ndogo ndogo


 
Amewahi kuendesha hata kesi moja, natamani kujua. Na huu uwakili ameupata akiwa tayari ana cheo na pesa?

Kwa Tanzania yetu na mfumo wetu wa elimu, watu waliosoma baada ya kuwa na vyeo au pesa, elimu zao ni za kuwa nazo makini kidogo.
Tatizo bado ni elimu, siyo kila wakili ni anaendesha case, na kama ulikuwa hujui kesi hasa za jinai hazina hela ila unapata umaarufu
Mawakili wengi wenye hela ni wale corporate lawyers hawaendagi mahakamani na wanadeal na mikataba hiyo kama ya dp world etc huko ndio hela ilipo , siyo kila wakili anaendesha case
 
Tatizo bado ni elimu, siyo kila wakili ni anaendesha case, na kama ulikuwa hujui kesi hasa za jinai hazina hela ila unapata umaarufu
Mawakili wengi wenye hela ni wale corporate lawyers hawaendagi mahakamani na wanadeal na mikataba hiyo kama ya dp world etc huko ndio hela ilipo , siyo kila wakili anaendesha case
Sure
 
Back
Top Bottom