Mwerevu akivuliwa nguo huchutama. Uzi wako umekosolewa na kukuvua nguo hasa kwa kuingiza itikadi za siasa kwenye masuala yenu ya chama cha kisheria. Ungekuwa muungwana usingejibiahana tena. Unaendelea kujionesha jinsi ulivyo mweupe.
Duuh!! Wakili msomi, kwa haraka na kwa namna ulivyoandika ujumbe huu, basi hitimisho litakuwa ni kati ya haya yafuatayo;-
(1) Mwanasiasa, likely CCM member, mwenye chuki zisizokuwa na tija;
(2) Unayo chuki binafsi dhidi ya Kibatala, Advocate, see the way ulivyom-address....very unproffessional and unwise....by ridiculing his name na tendo lililofanyika, very unfair for your fellow lawyer;
(3) Umekosa staha, busara, n.k, dhidi ya Wakili mwenzako;
(4) Hujui maana ya demokrasia, kwani wapiga kura ndio hufanya uchaguzi wa mtu/watu ambao wanaotaka wawe wawakilishi wao.
USHAURI: Kabla ya kuandika jambo, basi tafakari kwanza mapokea ya umma....and remember always kuwa learned brothers & sisters are expected to respect and treat each other with honest, candour and courtesy.
Yes ulinipa ww baada ya kukuvua PICHUClient wako Bogaz kama wewe hata hao clients unawapata naamini hunauwezo wa kuwasadiana si lazima uandike kiwanasheria lakini mwanasheria najua ni mtu anaweza kufafanua hoja na kubusara katika maneneno na maandishi yake kunauwezekano mkubwa sana uanasheria wako umeupta kwanjia ya PICHU.
Wadau msaada wenu tafadhari,eti huyu aliye andika hapa ni mwanasheria
Mweupe km wewe nawe ulivyoingia mkenge kuchangia ktk thread hii
HESHIMA KUU mwanasheria!!!!!!Jana Chama chetu cha Wanasheria wa Tanganyika tulifanya uchaguzi wa viongozi wetu. Peter Kibatala alikuwa ni mmoja wa wagombea wa.nafasi ya Umakamu wa Rais - nafasi aliyokuwa akiitetea kwani aliishika kwa miaka mitatu mfululizo. Kibatala alijiponza mwenyewe kwani alianza kujinadi kwa kudai eti kuna wenzetu walimbembeleza agombee Urais na yeye akakataa kwa kujiona bado immature (wajumbe tukaguna). Hii ilionesha ana uroho wa madaraka km Zitto Kabwe (inashangaza anampinga mahakamani). Then aliendelea kubwabwaja maneno mengi ambayo yalimfanya ajipambanue kuwa nafasi aliyokuwa kaishika hakuwa na mafanikio sana kwa sababu ya kubanwa na majukumu ya kisiaasa ktk chama chake cha CDM. Kura zilipopigwa tukampa mwanadada Flavian na akamzidi Kibala kwa zaidi ya kura 800. Kibatala hakuamini macho yake na alitoweka moja kwa moja ukumbini. Hivi ninavyoandika nipo KIA narudi Dar na jina lake linaitwa hapa airport ili apande ndege lakini hapatikani kuonesha kuwa amepata aibu sana na hataki kurudi Dar na sisi kwani tunaweza tukawa tunamsodoa kimoyomoyo mpaka tutapotua Dar.
My take: ukiamua kuwa mwanasiasa kuwa mwanasiasa kweli, ukiamua kuwa mwanasheria basi tumikia sheria kwani hapa inasubiriwa tu Kibatala apate pigo jingine atakapogaragazwa na Msando ktk kesi ya msingi ya Zitto Kabwe
Kwa thread yangu JF niite tu mie kilaza mara milioni moja ipo poa tu. Mahakamani utabow down tu!Hii haikusaidii, ushajiaibisha that's fullstop. Halafu unatiija mwanasheria! Mwanasheria gani usiyejua hata kupambanua jambo dogo hivi? Nyie ndo msiojiamini na kuendeshwa na wanasiasa na kuiharibu judiciary nzima. Sina mda wa kujibishana zaidi na kiazi kama wewe. Taifa linashindwa kwenda mbele kwa ajili ya vilaza kama wewe, mxiiiuuuuuu...pytuuuuuuu!!
Utajua taaluma ya mtu kutoka kwenye post???!!!!!
Jibu; Atakuwa astronaut!!!!
Obama ni mwanasheriaJana Chama chetu cha Wanasheria wa Tanganyika tulifanya uchaguzi wa viongozi wetu. Peter Kibatala alikuwa ni mmoja wa wagombea wa.nafasi ya Umakamu wa Rais - nafasi aliyokuwa akiitetea kwani aliishika kwa miaka mitatu mfululizo. Kibatala alijiponza mwenyewe kwani alianza kujinadi kwa kudai eti kuna wenzetu walimbembeleza agombee Urais na yeye akakataa kwa kujiona bado immature (wajumbe tukaguna). Hii ilionesha ana uroho wa madaraka km Zitto Kabwe (inashangaza anampinga mahakamani). Then aliendelea kubwabwaja maneno mengi ambayo yalimfanya ajipambanue kuwa nafasi aliyokuwa kaishika hakuwa na mafanikio sana kwa sababu ya kubanwa na majukumu ya kisiaasa ktk chama chake cha CDM. Kura zilipopigwa tukampa mwanadada Flavian na akamzidi Kibala kwa zaidi ya kura 800. Kibatala hakuamini macho yake na alitoweka moja kwa moja ukumbini. Hivi ninavyoandika nipo KIA narudi Dar na jina lake linaitwa hapa airport ili apande ndege lakini hapatikani kuonesha kuwa amepata aibu sana na hataki kurudi Dar na sisi kwani tunaweza tukawa tunamsodoa kimoyomoyo mpaka tutapotua Dar.
My take: ukiamua kuwa mwanasiasa kuwa mwanasiasa kweli, ukiamua kuwa mwanasheria basi tumikia sheria kwani hapa inasubiriwa tu Kibatala apate pigo jingine atakapogaragazwa na Msando ktk kesi ya msingi ya Zitto Kabwe
wanasheria wa division 5Ni mwanasheria,ndio maana kashiriki kupiga kura.
Kwa thread yangu JF niite tu mie kilaza mara milioni moja ipo poa tu. Mahakamani utabow down tu!
Jana Chama chetu cha Wanasheria wa Tanganyika tulifanya uchaguzi wa viongozi wetu. Peter Kibatala alikuwa ni mmoja wa wagombea wa.nafasi ya Umakamu wa Rais - nafasi aliyokuwa akiitetea kwani aliishika kwa miaka mitatu mfululizo. Kibatala alijiponza mwenyewe kwani alianza kujinadi kwa kudai eti kuna wenzetu walimbembeleza agombee Urais na yeye akakataa kwa kujiona bado immature (wajumbe tukaguna). Hii ilionesha ana uroho wa madaraka km Zitto Kabwe (inashangaza anampinga mahakamani). Then aliendelea kubwabwaja maneno mengi ambayo yalimfanya ajipambanue kuwa nafasi aliyokuwa kaishika hakuwa na mafanikio sana kwa sababu ya kubanwa na majukumu ya kisiaasa ktk chama chake cha CDM. Kura zilipopigwa tukampa mwanadada Flavian na akamzidi Kibala kwa zaidi ya kura 800. Kibatala hakuamini macho yake na alitoweka moja kwa moja ukumbini. Hivi ninavyoandika nipo KIA narudi Dar na jina lake linaitwa hapa airport ili apande ndege lakini hapatikani kuonesha kuwa amepata aibu sana na hataki kurudi Dar na sisi kwani tunaweza tukawa tunamsodoa kimoyomoyo mpaka tutapotua Dar.
My take: ukiamua kuwa mwanasiasa kuwa mwanasiasa kweli, ukiamua kuwa mwanasheria basi tumikia sheria kwani hapa inasubiriwa tu Kibatala apate pigo jingine atakapogaragazwa na Msando ktk kesi ya msingi ya Zitto Kabwe
Duuh!! Wakili msomi, kwa haraka na kwa namna ulivyoandika ujumbe huu, basi hitimisho litakuwa ni kati ya haya yafuatayo;-
(1) Mwanasiasa, likely CCM member, mwenye chuki zisizokuwa na tija;
(2) Unayo chuki binafsi dhidi ya Kibatala, Advocate, see the way ulivyom-address....very unproffessional and unwise....by ridiculing his name na tendo lililofanyika, very unfair for your fellow lawyer;
(3) Umekosa staha, busara, n.k, dhidi ya Wakili mwenzako;
(4) Hujui maana ya demokrasia, kwani wapiga kura ndio hufanya uchaguzi wa mtu/watu ambao wanaotaka wawe wawakilishi wao.
USHAURI: Kabla ya kuandika jambo, basi tafakari kwanza mapokea ya umma....and remember always kuwa learned brothers & sisters are expected to respect and treat each other with honest, candour and courtesy.