Peter Kibatala alivyokataliwa TLS

naona wazimu umekupanda hujielewi!!!

selective blindness buddy...

huwezi ku-like such a sentence hasa ukiwa kwenye status ya Dr. unless tumeamua ku-lower our standards za viongozi tunaowataka

You should know kwamba viongozi ni kioo cha jamii.... ONCE A PUBLIC FIGURE, ONE SHOULD EXPCT MORE SCRUTINY

BTW, kuhuzu wazimu, inawezekana kabisa unao wa kurithi na "kalaana kake pia" ulianza kupanda kwa bibi na babu yako, na hukuwahi kujielewa
 
Kama na wewe ni mwanasheria, basi nchi hii imekwisha.

Mambo uliyoandika hapa ni typical Div V, tena ya shule za kata.
 
Ndio maana nimemshauri aongee Kiswahili maana kuendelea kuongea Kiingereza ambacho inaonekana dhahiri hakijui huku akiitwa 'msomi' anakuwa anaudhalilisha huo 'usomi'....
Acha ukorofi bhana ujue tutanyimwa dhamana ooonhoooo!!!!!!!
"wasomi" kwa kweli wanatakiwa kukubali kuwa hiyo ni achievement sio tu sababu mtu ka pursue hiyo kozi na pass degree au hata upper au first class inatakiwa pawepo reflection ya huo usomi!!!!!!!
 
Ndio maana nimemshauri aongee Kiswahili maana kuendelea kuongea Kiingereza ambacho inaonekana dhahiri hakijui huku akiitwa 'msomi' anakuwa anaudhalilisha huo 'usomi'....

Eeeh!! Mkuu, hebu urudie kusoma hicho Kiingereza tena and, kindly, you better read it between lines...!!

Baada ya kumaliza kusoma.....naomba uniandikie or instruct me candidly...ili nijue kuwa next time naandika correctly.

Nipo hapa kwaajili ya kujifunza pia, pls.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…