Peter Kibatala alivyokataliwa TLS

Peter Kibatala alivyokataliwa TLS

Jana Chama chetu cha Wanasheria wa Tanganyika tulifanya uchaguzi wa viongozi wetu. Peter Kibatala alikuwa ni mmoja wa wagombea wa.nafasi ya Umakamu wa Rais - nafasi aliyokuwa akiitetea kwani aliishika kwa miaka mitatu mfululizo. Kibatala alijiponza mwenyewe kwani alianza kujinadi kwa kudai eti kuna wenzetu walimbembeleza agombee Urais na yeye akakataa kwa kujiona bado immature (wajumbe tukaguna). Hii ilionesha ana uroho wa madaraka km Zitto Kabwe (inashangaza anampinga mahakamani). Then aliendelea kubwabwaja maneno mengi ambayo yalimfanya ajipambanue kuwa nafasi aliyokuwa kaishika hakuwa na mafanikio sana kwa sababu ya kubanwa na majukumu ya kisiaasa ktk chama chake cha CDM. Kura zilipopigwa tukampa mwanadada Flavian na akamzidi Kibala kwa zaidi ya kura 800. Kibatala hakuamini macho yake na alitoweka moja kwa moja ukumbini. Hivi ninavyoandika nipo KIA narudi Dar na jina lake linaitwa hapa airport ili apande ndege lakini hapatikani kuonesha kuwa amepata aibu sana na hataki kurudi Dar na sisi kwani tunaweza tukawa tunamsodoa kimoyomoyo mpaka tutapotua Dar.
My take: ukiamua kuwa mwanasiasa kuwa mwanasiasa kweli, ukiamua kuwa mwanasheria basi tumikia sheria kwani hapa inasubiriwa tu Kibatala apate pigo jingine atakapogaragazwa na Msando ktk kesi ya msingi ya Zitto Kabwe

u were deserve to be a bUSh lawyer. May Lord for bid....!!!! Sikuwahi hata kuwaza kama na watu wanaojiita "wasomi" wanaweza kuwa na wivu "kike" kiasi hiki.
 
Jana Chama chetu cha Wanasheria wa Tanganyika tulifanya uchaguzi wa viongozi wetu. Peter Kibatala alikuwa ni mmoja wa wagombea wa.nafasi ya Umakamu wa Rais - nafasi aliyokuwa akiitetea kwani aliishika kwa miaka mitatu mfululizo. Kibatala alijiponza mwenyewe kwani alianza kujinadi kwa kudai eti kuna wenzetu walimbembeleza agombee Urais na yeye akakataa kwa kujiona bado immature (wajumbe tukaguna). Hii ilionesha ana uroho wa madaraka km Zitto Kabwe (inashangaza anampinga mahakamani). Then aliendelea kubwabwaja maneno mengi ambayo yalimfanya ajipambanue kuwa nafasi aliyokuwa kaishika hakuwa na mafanikio sana kwa sababu ya kubanwa na majukumu ya kisiaasa ktk chama chake cha CDM. Kura zilipopigwa tukampa mwanadada Flavian na akamzidi Kibala kwa zaidi ya kura 800. Kibatala hakuamini macho yake na alitoweka moja kwa moja ukumbini. Hivi ninavyoandika nipo KIA narudi Dar na jina lake linaitwa hapa airport ili apande ndege lakini hapatikani kuonesha kuwa amepata aibu sana na hataki kurudi Dar na sisi kwani tunaweza tukawa tunamsodoa kimoyomoyo mpaka tutapotua Dar.
My take: ukiamua kuwa mwanasiasa kuwa mwanasiasa kweli, ukiamua kuwa mwanasheria basi tumikia sheria kwani hapa inasubiriwa tu Kibatala apate pigo jingine atakapogaragazwa na Msando ktk kesi ya msingi ya Zitto Kabwe


Duuh!! Wakili msomi, kwa haraka na kwa namna ulivyoandika ujumbe huu, basi hitimisho litakuwa ni kati ya haya yafuatayo;-

(1) Mwanasiasa, likely CCM member, mwenye chuki zisizokuwa na tija;

(2) Unayo chuki binafsi dhidi ya Kibatala, Advocate, see the way ulivyom-address....very unproffessional and unwise....by ridiculing his name na tendo lililofanyika, very unfair for your fellow lawyer;

(3) Umekosa staha, busara, n.k, dhidi ya Wakili mwenzako;

(4) Hujui maana ya demokrasia, kwani wapiga kura ndio hufanya uchaguzi wa mtu/watu ambao wanaotaka wawe wawakilishi wao.


USHAURI: Kabla ya kuandika jambo, basi tafakari kwanza mapokea ya umma....and remember always kuwa learned brothers & sisters are expected to respect and treat each other with honest, candour and courtesy.
 
Duuh!! Wakili msomi, kwa haraka na kwa namna ulivyoandika ujumbe huu, basi hitimisho litakuwa ni kati ya haya yafuatayo;-

(1) Mwanasiasa, likely CCM member, mwenye chuki zisizokuwa na tija;

(2) Unayo chuki binafsi dhidi ya Kibatala, Advocate, see the way ulivyom-address....very unproffessional and unwise....by ridiculing his name na tendo lililofanyika, very unfair for your fellow lawyer;

(3) Umekosa staha, busara, n.k, dhidi ya Wakili mwenzako;

(4) Hujui maana ya demokrasia, kwani wapiga kura ndio hufanya uchaguzi wa mtu/watu ambao wanaotaka wawe wawakilishi wao.


USHAURI: Kabla ya kuandika jambo, basi tafakari kwanza mapokea ya umma....and remember always kuwa learned brothers & sisters are expected to respect and treat each other with honest, candour and courtesy.


The demise of learnedness!!!!!!
 
Duuh!! Wakili msomi, kwa haraka na kwa namna ulivyoandika ujumbe huu, basi hitimisho litakuwa ni kati ya haya yafuatayo;-

(1) Mwanasiasa, likely CCM member, mwenye chuki zisizokuwa na tija;

(2) Unayo chuki binafsi dhidi ya Kibatala, Advocate, see the way ulivyom-address....very unproffessional and unwise....by ridiculing his name na tendo lililofanyika, very unfair for your fellow lawyer;

(3) Umekosa staha, busara, n.k, dhidi ya Wakili mwenzako;

(4) Hujui maana ya demokrasia, kwani wapiga kura ndio hufanya uchaguzi wa mtu/watu ambao wanaotaka wawe wawakilishi wao.


USHAURI: Kabla ya kuandika jambo, basi tafakari kwanza mapokea ya umma....and remember always kuwa learned brothers & sisters are expected to respect and treat each other with honest, candour and courtesy.
for sure!! ameitia aibu taaluma.
 
Duuh!! Wakili msomi, kwa haraka na kwa namna ulivyoandika ujumbe huu, basi hitimisho litakuwa ni kati ya haya yafuatayo;-

(1) Mwanasiasa, likely CCM member, mwenye chuki zisizokuwa na tija;

(2) Unayo chuki binafsi dhidi ya Kibatala, Advocate, see the way ulivyom-address....very unproffessional and unwise....by ridiculing his name na tendo lililofanyika, very unfair for your fellow lawyer;

(3) Umekosa staha, busara, n.k, dhidi ya Wakili mwenzako;

(4) Hujui maana ya demokrasia, kwani wapiga kura ndio hufanya uchaguzi wa mtu/watu ambao wanaotaka wawe wawakilishi wao.


USHAURI: Kabla ya kuandika jambo, basi tafakari kwanza mapokea ya umma....and remember always kuwa learned brothers & sisters are expected to respect and treat each other with honest, candour and courtesy.
Wewe nawe! Unataka kufananisha majina na lugha tunazotumia mahakamani na JF. Halafu unaongelea demokrasia, hujui kuwa nami nimetumia demokrasia kuwasilisha thread yangu hivi.
 
Wewe nawe! Unataka kufananisha majina na lugha tunazotumia mahakamani na JF. Halafu unaongelea demokrasia, hujui kuwa nami nimetumia demokrasia kuwasilisha thread yangu hivi.

Khaaa!! Hapana, hutakiwi kumheshimu wakili/mwanasheria mwenzio ukiwa mahakamani tu.

Muda wowote na mahali popote ni wajibu wako kuheshimiana kwa dhati.


Msomi, soma Jina la Kibatala, lkn kwanini wewe uandike "kubataliwa"?

Anyways, do what you like....and...suits you as well.
 
Khaaa!! Hapana, hutakiwi kumheshimu wakili/mwanasheria mwenzio ukiwa mahakama
Muda wowote na mahali popote ni wajibu wako kuheshimi

Msomi, soma Jina la Kibatala, lkn kwanini wewe uandike "kubataliwa"?

Anyways, do what you like....and...suits you as well.
Kumbe kubataliwa ndiyo imekuwa issue. Basi sorry counsel
 
Kushindwa pia ni sehemu ya matokeo ambayo lazima yatokee kwenye uchaguzi wowote. Hapo aibu inatoka wapi?
 
Kumbe kubataliwa ndiyo imekuwa issue. Basi sorry counsel

Wakili, unajua haipendezi kubishana unreasonably, tena kwny majukwaa ya mitandao ya kijamii,,.!!

Similarly, wewe kwa uwezo wako wote umeona neno moja tu, as you allege, ndilo unadhani ni msingi wa michango yangu ktk mada yako and, if that is the case, you cant be serious?

Get grown up and act according to your legal profession, pls..!!
 
huyu si mwanasheria bali ni mbeya na mdaku Fulani tu hana jipya
 
Wewe nawe! Unataka kufananisha majina na lugha tunazotumia mahakamani na JF. Halafu unaongelea demokrasia, hujui kuwa nami nimetumia demokrasia kuwasilisha thread yangu hivi.

Hicho cheo kinafaida gani kwa wanasheria wasomi?
 
Mkikutanaga wenyewe aaaanh huwa burudani sana! !!!!!!!

Mwisho mtuambie tu kuwa kweli nyie ni "learned" kwa maana yoyote ile au ni just "social constructionism" kama ilivyo kwa "profesa" wa mazingaombwe!!!!!!!
 
Back
Top Bottom