Peter Kibatala: We need a Police to Police the Police

Mmmh police gan mwenye Masters? PhD? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aaah wee hapanaa.
Si sahihi kutaja majina ya watu hapa ila phd's police wapo. Masters ndio kabisa zipo za kutosha. Makamishna wengi ni master holders.
 
Mmmh police gan mwenye Masters? PhD? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aaah wee hapanaa.
Wapo ma kamishner wa magereza wana phd, kwa polis masters ipo ila ni very rare thing to find. I know sababu wachache sana niliwah soma nao. Phd kwa polis ndio sijawahi sikia
 
Mbona nao yanayolalamikiwa huku hata kwao ni yale yale,Rushwa,uonevu,ukoloni mambo leo.
 
Naisi weledi ni shida,Kuna mmoja nikisoma nae muda wa kuandaa proposal ulipofika hakumuona supervisor(Dr) mwisho wa siku akaibuka na research report,simply mwaka huo hakugraduate.Naisi terms zibadilishwe za kuajili walau kuendana na mabadiliko ya kidunia.
 
Madhara ya chama kimoja hasa hiki changu Cha CCM kukaa madarakani muda mrefu,Hadi jeshi la police linashindwa kuwatumikia wananchi linatumikia chama na watawala yaani kuwapendeza watawala!!

Mimi naamini chama Chama upinzani ni sehem ya taifa coz wanachama waliopo huko wanalipa Kodi SAWA na chama Tawala!!

Tunaendelea kupoteza utaifa wetu siku Hadi siku!!
 
Ila ndio wanaokulinda ukiwa unajijambia na mkeo.vile vile siamini km polisi wanakuzidi we kwa ujinga. Hilo likibatala limelewa sifa ht yeye anaweza kula mvua za kutosha. Kesi zake nyingi anashindaga kwa kutoa rushwa kwa majaji siyo akili wala kujua sheria
 
Sasa nyie nyumbu mtalalamika mpk lini, uongozi hupatikana kwa kura siyo kulalamika humu
 
Polisi ni failure wa kidato cha nne halafu aende mahakamani kubishana kwa hoja na wakili msomi wa pale Law school 😅😅😅Hawana weledi wa kuisimamia Sheria maana hawaijui
 
these shemless and shenanigans political activist must be responsible to co-oparate with our very able police unit and for sure must be prosecuted arconding to the law of the land in regards of their confirmed offences 🐒

hii stori mingi na porojo za hawa maadvocate wa kutafuta kiki na kujulikana ni useless kabisa, na haviwezi kuzuia polisi kufanya kazi yake na mahakama kutekeleza wajibu wake ipasavyo 🐒

upotoshaji hauna faida wala maana yoyote. By the way tuache hatua stahiki za kisheria viendelee 🐒
 
Nakumbuka mwaka 1996 pale Tunduma , ujambazi ulikua unafanywa na polis. Mitaa ilikua inafungwa saa nne usiku. Waliletwa polis Toka makao makuu kuja kukomesha matukio ya uhalifu, polis kadhaa walidakwa.
 
Sasa nyie nyumbu mtalalamika mpk lini, uongozi hupatikana kwa kura siyo kulalamika humu
Nani nyumbu!!?

Halafu tangu lini idadi ya kura kuwa nyingi zikahalalisha ushindi wa mtu hasa katika nchi zetu za Dunia ya tatu!!?hata huko america idadi ya kura hazihalalishi ushindi wa urais!!

Hujui kura zinahalalisha yule aliechaguliwa tayari na wenye mamlaka ya nchi!?na sio idadi.na uwingi wa kura za mgombea!!?

Ingekua idadi ya kura inahalalisha ushindi was urais bas maalim seif,Lowasa,Tundu Lisu,Mrema wangeshaapishwa kuwa Marais was nchi hii!!hata secretary clinton angeshinda!!
 
Kenya wanacho
 
Mmmh police gan mwenye Masters? PhD? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aaah wee hapanaa.
Wapo wengi sana personally nawafahamu zaidi ya 20 wana masters na phd kuna mmoja phd alikuwa ocd wa mbweni, kuna dr mangu nilisoma nae ifm , kuna mmoja anauza sana magari kinondoni etc wengi sana
 
Yes very true
 
Huyu kaandika vizuri sana
 
Naunga mkono hapo kwenye no 7, afu ilivyotoka 7 badala ije 8 we umeandika no 9
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…