Peter Kibatala: We need a Police to Police the Police

Peter Kibatala: We need a Police to Police the Police

Ila ndio wanaokulinda ukiwa unajijambia na mkeo.vile vile siamini km polisi wanakuzidi we kwa ujinga. Hilo likibatala limelewa sifa ht yeye anaweza kula mvua za kutosha. Kesi zake nyingi anashindaga kwa kutoa rushwa kwa majaji siyo akili wala kujua sheria
Bado sijaoa mrembo. Vipi nilete mahari kwenu? Njoo PM basi.
 
Mbona nao yanayolalamikiwa huku hata kwao ni yale yale,Rushwa,uonevu,ukoloni mambo leo.
Malalamiko huwa hayaishi ktk maisha ya binadamu hapa duniani. Lakini kumbuka ktk nchi za bara hili la Afrika, South Africa ndio nchi inayoongoza kwa uhalifu, sambamba na kuongoza ktk kuwawqjibisha Askari Polisi ktk kuwashitaki Mahakamani na/au kuwafukuza kazi.Afrika ya Kusini Askari Polisi wanaolalamikiwa, Wahalifu au waovu wanafukuzwa kazi na kufungwa jela kwa wingi Sana.
 
Inatia aibu police wanamwogopa katibu ccm mkoa 🤔🤔🤔🤔wameshidwa hata kumpa onyo na kunwambia arekebishe kauli yake
 
Mkuu naunga hoja Kibatala na ya kwako. Pamoja na hayo nami napendekeza yafuatayo:

1. Muundo wa polisi ubadilishwe uwe ni wa kuhudumia wananchi. Badala ya kuwa police force ya mkoloni iwe police service ya kisasa.

2. Jeshi la polisi la sasa ligawanywe katika sehemu mbili zinazo jitegemea. Pawepo na huduma ya polisi na huduma ya upelelezi inayojitegemea kimuundo, kiuongozi, kimamlaka na kiutendaji

3. Polisi waboreshwe maslahi yao, angalau yakuweza kukimu/kumudu maisha ya sasa badala ya kutuma upolisi wao na bundiki kuendesha maisha yao. Huu ndio mzizi wa rushwa ndani ya polisi.

4. Askari polisi wote na vitengo vyao waishi kambini. Kambi zao ziboreshwe za kufaa kuishi binadamu. Ila askari upelelezi ndio waishi mtaani /changanyikeni/uraiani maana shughuli zao zinataka hivyo.

5. Katika mafunzo yao, mbali na mazoezi pawepo na somo la lazima la uelewa wa sheria, katiba, muongozo wa polisi na haki za raia kwa kila askari.

6. Kwa upande wa askari upelelezi pawepo na ukomo wa muda wa upelelezi, muda usizidi miezi 3, vinginevyo mahakamani ndio iongeze muda iwapo pana ulazima na usizidi miezi 3.

7. Katika zoezi lolote la ukamataji wa raia, raia yeyote wa jirani aruhusiwe kuchukua video ya tukio zima, video hiyo itumike kama sehemu ya ushahidi mahakamani ya mwenendo wa askari katika ukamataji na kusimamia haki ya raia.

9. Polisi wapewe vitendea kazi muhimu kama magari, pikipiki, fenicha, stationery na kadhalika kwa wakati ili kutimiza majukumu yao kwa ueledi bila ubabaishaji kama ilivyo sasa.

10. Ofisi, choo na mahabusi za polisi ziwe na hadhi nzuri kwa design, rangi na space. Hii itawamotivate askari kutenda haki. Majengo mengi ya polisi ukifika tu, unajua haki huipati! Nyingi ni mahabusu za kikoloni. Pia pawepo na vituo vya polisi kila ilipo ofisi ya serikali ya mtaa ili kurahisisha huduma.

11. Polisi iwatumikie raia wote kwa usawa. Jeshi la polisi lifuate sheria. Lisiwe jeshi la chama tawala lilojaa upendeleo. Ambalo kila askari ni mwanachama chama wa chama hiko na kusimamia ilani na sera za chama hicho. Lisiegemee upande wowote wa siasa.

Pawepo na clear separation.

12. Pawepo na muangalizi huru na maalum wa polisi ambaye kwa maoni yangu aweze kupokea malalamiko ya raia dhidi ya polisi, kuchunguza na kukarapia na kusimamisha askari yeyote kazi. Hii italeta nidhamu kwa askari dhidi ya raia.

13. Mwisho pawepo na utaratibu wa kila baada ya miaka 10, kupitia na kuoverhaul jeshi la polisi ili liweze kuendana na muda na mazingira ya dunia ya wakati huo.

Nawasilisha!
Mkuu una kura yangu kwako kuwa Rais wangu,welldone mkuu yaani umeeleza kwa ufasaha kuhusu ukweli,hukuongea politics kabisa
 
Hiyo si sababu na msiendelee kukariri kwamba Polisi hawana elimu. Polisi 10k+ Kwa Sasa Wana Dr, Masters, bachelor, dip au form 6. Tatizo la ukosefu wa weledi nchini halihusiani na elimu zào. Bungeni kuna maprofesa lakini bado ni Bunge la ovyo kuliko la 1975.
Tanzania hii!!!Tutajie polisi mwenye PhD .

Hata hao MASTER Degree ni asilimia 1% ya polisi wote .Asilimia kubwa wa polisi ni vilaza haswa
 
Boss hebu fafanua wanànchi waelewe. Una maana amefungua kampuni yake ya ulinzi inaitwa gadworld au ameajiriwa na dogo anayemiliki kampuni.😝😝
Kuna maisha baada ya utumishi. Tufanye kazi ya upolisi kutumia REASONABLE FORCE Kama force itahitajika.
Ni kibarua Tu kwenye hiyo kampuni
 
these shemless and shenanigans political activist must be responsible to co-oparate with our very able police unit and for sure must be prosecuted arconding to the law of the land in regards of their confirmed offences 🐒

hii stori mingi na porojo za hawa maadvocate wa kutafuta kiki na kujulikana ni useless kabisa, na haviwezi kuzuia polisi kufanya kazi yake na mahakama kutekeleza wajibu wake ipasavyo 🐒

upotoshaji hauna faida wala maana yoyote. By the way tuache hatua stahiki za kisheria viendelee 🐒
Kwenye bold fanyia kazi hiyo lugha
 
Polisi wetu, nadhani wanaamini kuwa polisi hakuhitaji kutumia akili ili maguvu tu. Ndiyo maana tuna matendo mengi ya hovyo yanayofanywa na jeshi la polisi.
Tafsiri ya kutumia akili ni ipi? Nguvu hutumika baada ya akili
 
Boss hebu fafanua wanànchi waelewe. Una maana amefungua kampuni yake ya ulinzi inaitwa gadworld au ameajiriwa na dogo anayemiliki kampuni.😝😝
Kuna maisha baada ya utumishi. Tufanye kazi ya upolisi kutumia REASONABLE FORCE Kama force itahitajika.
Baada ya kustaafu tu , Omary Mahita alikamatwa kwa kumjaza mimba House girl wake mwenyewe na kukataa matunzo ya mtoto , akaburuzwa Mahakamani kwa aibu sana ! akajipendekeza kujenga msikiti Morogoro Waislam wameususa , wala hakuna anayeuswalia , wanatagia tu popo na kunguru
 
Ila ndio wanaokulinda ukiwa unajijambia na mkeo.vile vile siamini km polisi wanakuzidi we kwa ujinga. Hilo likibatala limelewa sifa ht yeye anaweza kula mvua za kutosha. Kesi zake nyingi anashindaga kwa kutoa rushwa kwa majaji siyo akili wala kujua sheria
Mbona umepaniki CHAWA wewe!!
Bila shaka wewe ni miongoni Kwa zero brain police ,Division IV dot.com
Kibatara mmoja akili yake ni sawa na Polisi wa Tanzania 10000
 
Tungekuwa tuna IGP anaejielwa angetosha kuwa anasimamia hili. Sema nao sijui huwa wanadhani ni maagizo kutoka juu, wanaogopa kutumbuliwa.

Hapa alikuwa anapiga simu ya upepo kuwaambie waache ujinga wafanye kazi za maana jambo linaisha.
Uhai na maslahi ya IGP uko mikononi mwa aliyemteua 100% ni ngumu sana kuwa Huru hata kidogo.
 
Back
Top Bottom