Yaan huo ukatili wa hali ya juu...
Such an interesting story japo inahuzumisha
Kwa jinsi nilivyosoma maelezo ya hii habari kutoka kwa mtoa mada hapo juu, maelezo ya peter kushindwa kuchinja hata kuku yanakuwa hayana nguvu kutokana na ushahidi mwingi kumkuta yeye.Pale Kijijini usambaani Vuga, Lushoto, Tanga! Hapo imeandikwa kuwa Kupaza alikua anauwezo wa kuchinja Kuku, ila kwa kule kijijini Vuga Lushoto Tanga, iliaminika kuwa Kupaza hakuwahi kuchinja hata kuku.
Na hii story pia kulikua na pahala kwamba Baada ya kumchukua muivano kutoka Vuga Lushoto na kwenda nae huko, wali-divorce na huyo demu wa kizungu na huyu mzungu aliamini kuwa Kupaza alikua na mahusiano na ndugu yake, kwahio ilikua kama revenge.
Kwahio kuna sintofahamu nyingi na ndio maana Kupaza alikuja kukata rufaa.
Lakini ndio hivyo
Kabisa asitoke maana sio binadamu wa kawaida huyo mmhYaani details za alioufanyia huo mwili zinatisha kuzisoma. Kumchuna binadamu mwenzio baada ya kumuua ngozi ya kichwa!? π©π©π©π© ilibidii ahukumiwe kunyongwa hadi AFE.
Wanasema kadanganya kwa sababu visa ya huyo dada ilikuwa imeexpire so alidanganya ili asitiwe nguvuniHuyo mtalaka inawezekana ndio muhusika lakini kwanini jamaa amedanganya taarifa nyingi?
Ni assumptions tu kuna theories kadhaaKwa jinsi nilivyosoma maelezo ya hii habari kutoka kwa mtoa mada hapo juu, maelezo ya peter kushindwa kuchinja hata kuku yanakuwa hayana nguvu kutokana na ushahidi mwingi kumkuta yeye.
Inawezekana yule mama alimtengenezea tukio, lakini peter ndo adanganye dadaake alisharudi tanzania? Atampaje nauli dadaake wakati hata fedha ya mambo ya talaka hakuwa nayo? Pesa ya kukodi gari binafsi? Kazi ya kueleweka kumuingizia kipato cha kutosha hakuwa nayo.
Ni ngumu sana kumtoa peter kwenye hili sakata.
Maana wanawake wa kizungu hasa Marekani akikupenda akakupeleka kwao alafu ukifika kule ulete ujanja wanakua na roho mbaya sanaWanasema kadanganya kwa sababu visa ya huyo dada ilikuwa imeexpire so alidanganya ili asitiwe nguvuni
Ila wamama wa kimarekani hii michezo wanaijua sana[emoji848][emoji848]Pale Kijijini usambaani Vuga, Lushoto, Tanga! Hapo imeandikwa kuwa Kupaza alikua anauwezo wa kuchinja Kuku, ila kwa kule kijijini Vuga Lushoto Tanga, iliaminika kuwa Kupaza hakuwahi kuchinja hata kuku.
Na hii story pia kulikua na pahala kwamba Baada ya kumchukua muivano kutoka Vuga Lushoto na kwenda nae huko, wali-divorce na huyo demu wa kizungu na huyu mzungu aliamini kuwa Kupaza alikua na mahusiano na ndugu yake, kwahio ilikua kama revenge.
Kwahio kuna sintofahamu nyingi na ndio maana Kupaza alikuja kukata rufaa.
Lakini ndio hivyo
Na wanajua kulindana! Hii issue ya Kupaza ni ngumu sana!Ila wamama wa kimarekani hii michezo wanaijua sana[emoji848][emoji848]
Cousin wangu last month kakutwa kafa na bastola pembeni wakasema kajiua na alikuwa na ugomvi na mkewe
Ndio mkuu...Maana wanawake wa kizungu hasa Marekani akikupenda akakupeleka kwao alafu ukifika kule ulete ujanja wanakua na roho mbaya sana
Ukiwa mwafrika au black mbele ya mzungu huchomoki asee!Na wanajua kulindana! Hii issue ya Kupaza ni ngumu sana!
Hebu nielezee nijifunze jambo! Hapa hapa au PM au WhatsApp?Ukiwa mwafrika au black mbele ya mzungu huchomoki asee!
Kupaza ndo kashapoteza hivo!
Aah wazungu wajanja sana sana
Nikikueleza hilo tukio la cousin wangu utachoka ni kama movie hivi
Mmh hapa hapa noma...ngoja nikipata mda nakuja PMHebu nielezee nijifunze jambo! Hapa hapa au PM au WhatsApp?
Hahahaaha sawa, Leo Niko mapumziko nitakua na muda mzuri wa kujifunzaMmh hapa hapa noma...ngoja nikipata mda nakuja PM
Utachoka mkuu
Una mke mzungu nini?[emoji16][emoji16][emoji16]
Nyie!wazungu sio wa mchezo,wanajua kupiga tukio na kufunika ushahidi!nikiangaliaga kipindi cha perfect murder ndo naelewaga kuwa wazungu kwenye hili sio wenzetu kabisaIla wamama wa kimarekani hii michezo wanaijua sana[emoji848][emoji848]
Cousin wangu last month kakutwa kafa na bastola pembeni wakasema kajiua na alikuwa na ugomvi na mkewe
Si unaona hadi wazazi wa mwivano walilipiwa nauli ya mwewe...go and return [emoji848]Nyie!wazungu sio wa mchezo,wanajua kupiga tukio na kufunika ushahidi!nikiangaliaga kipindi cha perfect murder ndo naelewaga kuwa wazungu kwenye hili sio wenzetu kabisa
Si unaona hadi wazazi wa mwivano walilipiwa nauli ya mwewe...go and return [emoji848]
Hii yote ni kucover the source