Hii kesi ilitikisa sana na kuvuta hisia za watu miaka hiyoView attachment 948056
Muuaji Peter Kupaza
Vipi status ya Peter Kupaza kwa sasa huko alikofungwa?View attachment 948058
Marehemu Mwivano Kupaza
Miaka ya 90 kuna mtanzania akiitwa KWA jina la gwivaha mkazi wa MOROGORO Junior seminary alisemekana kumpa mimba dada yake kisha ili kuficha aibu akamuua na mabaki yake akayaweka kwenye plastic bag na kuyatupa mtoni. Naomba ile link uzi uko humu.
Aliitwa Peter Kupaza na Mwivano kupaza. Walikuwa ndugu, mtoto wa, baba, mkubwa, na mdogo. Search Peter Kupaza, If kwenye google.Miaka ya 90 kuna mtanzania akiitwa KWA jina la gwivaha mkazi wa MOROGORO Junior seminary alisemekana kumpa mimba dada yake kisha ili kuficha aibu akamuua na mabaki yake akayaweka kwenye plastic bag na kuyatupa mtoni. Naomba ile link uzi uko humu.