Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
- Thread starter
- #21
Kibali kinaombwa kwa maombi madogo. Mis Criminal applicationHiyo sio charge ni complaint. Ni maombi ya kutaka mtuhumiwa agunguliwe mashtaka. Inaonekana Public Prosecutor anataka kukwepesha kesi ndio maana madeleka anaomba kibali afungue kesi kwa niaba ya Jamhuri. Jamhuri ni jamii yote ya Tanzania sio serikali.