Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1][emoji1][emoji1]Nimeamini Mwanamke kushika Mimba si kazi sana... pia ni baraka za Mungu..
hadi huyu jamaa ana watoto wawili..
Mnapenda kujificha kwenye hako kamsemo hata kasipohitajika.Jamii = "Society" according to (English Translation)
Ukisoma vizuri maana ya neno "Jamii" utagundua kuna maneno makuu matatu:-
1. Watu
2. Muingiliano (Kuchangamana)
3. Eneo
So tuna-share na kujadili nini? (what contents?) - hapo ndipo panapo-matter zaidi.
Kwa maana "Akili kubwa hujadili mawazo; Akili za wastani hujadili matukio; Akili ndogo hujadili watu."
Ni matumaini yangu, umejiona una angukia katika kundi gani?
Usipojifunza na hapa hicho ni kiburi, unatakiwa ubadili mwenendo wako juu ya akili yako.
View attachment 2969869
Huwa JF haidanganyi,kuna siku watu watakuja kuufufua huu uzi,JF iheshimiwe sana.Hakuna ajuaye atakufa lini, ila kuna life style usipozingatia unajiwahishia mwenyewe kaburini,
Tupac nilijua atauliwa tu baafa ya diss track ya Hit them up, Amina Chifupa alijua atakufa baada ya kusema atawataja wauza udaga, Langa, Mangwea walijiwahisha mbele za haki sababu ya udaga, huenda wangekuwa hai mpaka leo, ulale na malaya bila kinga au uendeshe gari kwa speed kali 130 useme ajali kazini...hakika utakufa.
Captain John Komba alikuwa mwili nyumba, shati lake unaweza kufunikia gari aina ya IST, Lemutus Tshirt yake ungeweza kutengenezea tent, yule mwanamziki wa marekani ni Big Punisher alifia usingizini premature sababu ya tumbo kama lako, mwenzake Fat Joe machale yakamcheza akapunguza kilo kutoka 150 mpaka 80.
Nimekumbuka kitu kuhusu Capt Komba, siku zake za mwisho aliwahi kusema atakayemsaidia kupungua mwili wake atampa zawadi, alishaona hatari mbele yake, leo hayupo mkewe bado mbichi kabisaa.
Bwana mdogo Peter Msechu sio kwamba Mo Dewji hana hela ndio maana hanenepi, Bill Gates, Dangote, Kikwete wanaweza kufuga matumbo wakiamua ila wanajua madhara yake.
Kuwa serious na afya yako acha comedy na uhai, najua jitihada zako za kuwekewa puto ila zimekaa kikomedy comedy huenda hata sio kweli.
Wewe ni bingwa wa nyimbo za misiba, marafiki zako na ma DJ watapiga sana nyimbo zako siku ukifa wakati uwezo wa kukusaidia wanao sasa ila wanaona hauko serious.
Kila nafsi itaonja mauti ila kutangulia mapema sio powa
Sawa sawa.. ila mkumbuke unene mwingine ni asili (genetic)..Hakuna ajuaye atakufa lini, ila kuna life style usipozingatia unajiwahishia mwenyewe kaburini,
Tupac nilijua atauliwa tu baafa ya diss track ya Hit them up, Amina Chifupa alijua atakufa baada ya kusema atawataja wauza udaga, Langa, Mangwea walijiwahisha mbele za haki sababu ya udaga, huenda wangekuwa hai mpaka leo, ulale na malaya bila kinga au uendeshe gari kwa speed kali 130 useme ajali kazini...hakika utakufa.
Captain John Komba alikuwa mwili nyumba, shati lake unaweza kufunikia gari aina ya IST, Lemutus Tshirt yake ungeweza kutengenezea tent, yule mwanamziki wa marekani ni Big Punisher alifia usingizini premature sababu ya tumbo kama lako, mwenzake Fat Joe machale yakamcheza akapunguza kilo kutoka 150 mpaka 80.
Nimekumbuka kitu kuhusu Capt Komba, siku zake za mwisho aliwahi kusema atakayemsaidia kupungua mwili wake atampa zawadi, alishaona hatari mbele yake, leo hayupo mkewe bado mbichi kabisaa.
Bwana mdogo Peter Msechu sio kwamba Mo Dewji hana hela ndio maana hanenepi, Bill Gates, Dangote, Kikwete wanaweza kufuga matumbo wakiamua ila wanajua madhara yake.
Kuwa serious na afya yako acha comedy na uhai, najua jitihada zako za kuwekewa puto ila zimekaa kikomedy comedy huenda hata sio kweli.
Wewe ni bingwa wa nyimbo za misiba, marafiki zako na ma DJ watapiga sana nyimbo zako siku ukifa wakati uwezo wa kukusaidia wanao sasa ila wanaona hauko serious.
Kila nafsi itaonja mauti ila kutangulia mapema sio powa
Anaweza kuwa sawa leo ila baada ya muda kodogo majangaSawa sawa.. ila mkumbuke unene mwingine ni asili (genetic)..
Si ajabu ukute akienda kufanya check up wanakuta vitals (pressure, sukari, cholestrol n.k.) zote ziko sawa.. si unaona katupia hayo magoli mawili..
Cha muhimu azingatie cardio..
Atakuwa ana tatizo la kiafya,hii sio diet aiseeHuyu kazidi,hapo ni MD angekuwa kijijini je??JK ana mwili wa kutolea mfano sio huyu hata 60 hana kashazeeka
Mnapenda kujificha kwenye hako kamsemo hata kasipohitajika.
Hakuna ubaya kudiscus watu, kupitia watu tunajifunza vitu vingi sana.
Makosa yao, kufeli kwao au mafanikio yao ni chachu ya mabadiliko kwa wengine.
Usiogope kudiscus watu kisa hiyo quote hapo, usijilimit mkuu.
Fungua mbongo hiyo uwaze vyema na sio kudepend mawazo ya ancestors kama hao unaowaquote.
😃😃😃 Kijana maisha hayako serious kiasi hicho.Hapa ndipo wenzetu wanapotupiga gap, kwa ufahamu wa aina hii!
Wenzetu wanawaza na kufikiri vitu productive kwenye maisha yao ya sasa na hata baadae:-
How can human survive on the moon, mars and other planet?
Why earth is no longer better place for supporting human life?
How can we discover a better green technology?
How can we modernize the modern cities through the use of modern technology?
Wewe upo kwenye dunia ya tatu unawaza ku-discuss unene wa mwili wa mtu na tumbo lake yaani body morphology yake.
Vitu vingine mnavipa maana wakati havina maana - wewe Peter Msechu unamjua au unamfahamu?
Coz, when it comes to body morphology kuna factors nyingi zinachangia mtu kuwa hivyo alivyo usifikiri anapenda, kama mnavyofikiri kwa akili za haraka haraka:-
1. Diet 2. Genetics 3. Environment 4. Lack of Physical activities 5. Medications n.k
Ndio maana, sikutaka tufike huku tulipofika coz naelewa kuna factors nyingi zinapelekea mtu kuwa vile alivyo, ndio maana nikasema ya Msechu tumuachie Msechu, sababu yeye anajielewa vizuri kuliko sisi tumuelewavyo.
Kuhusu issue ya ancestors ina matter zaidi linapokuja swala ya dunia ya sasa, hii dunia haikuanzia hapa, that's why kuna kamsemo kanasema "Hakuna jipya chini ya jua". Lazima uelewe kwenye jambo lolote lile, wewe sio wa kwanza na wewe hautakuwa wa mwisho.
View attachment 2971679
😃😃😃 Kijana maisha hayako serious kiasi hicho.
Russia, USA, China huko wao muda wote wanadiscuss hizo vitu ulizoainisha huko juu??
Hizi mambo mlizokalilishwa hizi, yaani unadhani nchi zilizopiga hatua, nchi nzima wana shughuli moja tu ya kuwaza kuishi mwezini, anachowaza Elon Musk ndicho anachokiwaza Lil Wayne huko USA sio??
Elon/NASA wakiwa wanalounch missiles zao basi wafuatiliaji ni nchi nzima sio coz nchi nzima iko serious na kwenda Mars😃😃.
Kama maisha yangekua hivyo utakavyo wengi tungesepa mapema hii dunia hakuna burudani ni mwendo wa kuwaza hizo vitu zako.
Peter Msechu ni maarufu, kama nilivyokwambia awali, ni public figure anafuatiliwa nacwengi.
Program zake za kupunguza mwili anaziweka hadharani, sasa watu wakicomment wewe unaona hawako serious na kwenda Mars.
Kuna platform za hicho unachotaka, nenda huko, labda N. Korea ndo wako serious kama hivyo.Kuelewa maana yake ni kubadilisha mtazamo; kama huwezi kubadilisha mtazamo basi huwezi kuelewa, Huwezi kuelewa kama hujataka kuelewa. Ndivyo ilivyo, nothing else.
I'm done with you.
Mkuu, wewe kweli ni WOII au ni id tu!Wewe na huyo mwalimu wako na hata pita msechu wote hamna akili
tuendelee tu kuwa JF itadhihirikaMkuu, wewe kweli ni WOII au ni id tu!