Peter Msechu acha comedy kwenye afya yako, utakufa premature utuachie mkeo, watoto wako watateseka

Peter Msechu acha comedy kwenye afya yako, utakufa premature utuachie mkeo, watoto wako watateseka

Mtu mwenye akili timamu awezi kunenepa namna hii aiseee! Mtu mwenye unene wa hivi hata uwezo wa kufikiri unapungua sana
 
Mimi nawapa Ushauri tu, hakikisha Una Alkaline nyingi mwilini.

Usikose limao kila siku, chai kamulia nusu limao, kabla ya kulala glasi ya maji kamulia nusu ya limao.

Fanya huu kuwa mtindo wako wa maisha utaepuka mengi.

Mimi sifanyi diet yoyote lakini siwezi kutoka kitambi hata siku moja.
Alkaline levels mwilini hazina uhusiano mkuu. Kitambi kinatokana na uwiano mbovu wa calories au nishati IN na calories au nishati OUT. Simple as that. Unachokula nishati yake isizidi nishati unayotumia kwa siku. Kama nishati unayoweka mwilini ikizidi nishati unayohitaji kwa siku kulingana na mfumo wako wa maisha, basi mwili unageuza nishati ya ziada kuwa mafuta.
 
Alkaline levels mwilini hazina uhusiano mkuu. Kitambi kinatokana na uwiano mbovu wa calories au nishati IN na calories au nishati OUT. Simple as that. Unachokula nishati yake isizidi nishati unayotumia kwa siku. Kama nishati unayoweka mwilini ikizidi nishati unayohitaji kwa siku kulingana na mfumo wako wa maisha, basi mwili unageuza nishati ya ziada kuwa mafuta.
Kama Una akili timamu ungeelewa Kwanza Alkaline ni nini. Usikurupuke.
 
Kama anaelewa madhara ya uzito uliopitiliza, sisi ni nani tuanze kumuundia tume.

Mtu na mwili wake, yeye ndiye anayejielewa vizuri sana kuliko sisi wapenzi watizamaji.

Tunachotakiwa kufanya, kila mtu kuyaishi maisha yake.

Ya Msechu tumuachie Msechu na ya Mdukuzi tumuachie Mdukuzi.​
On other perspective watu kama wewe ndio tatizo tulilonalo kwenye jamii kuwa kichaka cha ujinga kwa kisingizio cha kuwaacha watu waishi maisha yao.

Unachezesha taya, na kuhangaisha vidole kuandika jambo ambalo hata wewe na kichwa chako ukija kulisoma miaka kadhaa baadae utakiri kuwa haukutumia akili timamu.

Nikwambie tu hakuna faida yoyote mtu kuwa overweight zaidi ya hasara na mateso uzeeni.

Wewe kama mwanajamii unatakiwa kulitambua hilo na kuwa mstari wa mbele kwenye kuwaambia wanajamii wenzako kuwa hili jambo sio sawa ila sio kuja hapa na hizi "woke" mentality za kutetea upumbavu kwa kisingizio cha "body shaming".
 
On other perspective watu kama wewe ndio tatizo tulilonalo kwenye jamii kuwa kichaka cha ujinga kwa kisingizio cha kuwaacha watu waishi maisha yao.

Unachezesha taya, na kuhangaisha vidole kuandika jambo ambalo hata wewe na kichwa chako ukija kulisoma miaka kadhaa baadae utakiri kuwa haukutumia akili timamu.

Nikwambie tu hakuna faida yoyote mtu kuwa overweight zaidi ya hasara na mateso uzeeni.

Wewe kama mwanajamii unatakiwa kulitambua hilo na kuwa mstari wa mbele kwenye kuwaambia wanajamii wenzako kuwa hili jambo sio sawa ila sio kuja hapa na hizi "woke" mentality za kutetea upumbavu kwa kisingizio cha "body shaming".
Okay.
Is the JF platform the right place to give advice to someone regarding their body maintenance.
How personal issues, you make it public?
 
[QUOTE="mdukuzi, post: 49960673, member: 194966
Captain John Komba alikuwa mwili nyumba, shati lake unaweza kufunikia gari aina ya IST, Lemutus Tshirt yake ungeweza kutengenezea tent,



[/QUOTE]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hakuna ajuaye atakufa lini, ila kuna life style usipozingatia unajiwahishia mwenyewe kaburini,
Tupac nilijua atauliwa tu baafa ya diss track ya Hit them up, Amina Chifupa alijua atakufa baada ya kusema atawataja wauza udaga, Langa, Mangwea walijiwahisha mbele za haki sababu ya udaga, huenda wangekuwa hai mpaka leo, ulale na malaya bila kinga au uendeshe gari kwa speed kali 130 useme ajali kazini...hakika utakufa.

Captain John Komba alikuwa mwili nyumba, shati lake unaweza kufunikia gari aina ya IST, Lemutus Tshirt yake ungeweza kutengenezea tent, yule mwanamziki wa marekani ni Big Punisher alifia usingizini premature sababu ya tumbo kama lako, mwenzake Fat Joe machale yakamcheza akapunguza kilo kutoka 150 mpaka 80.

Nimekumbuka kitu kuhusu Capt Komba, siku zake za mwisho aliwahi kusema atakayemsaidia kupungua mwili wake atampa zawadi, alishaona hatari mbele yake, leo hayupo mkewe bado mbichi kabisaa.

Bwana mdogo Peter Msechu sio kwamba Mo Dewji hana hela ndio maana hanenepi, Bill Gates, Dangote, Kikwete wanaweza kufuga matumbo wakiamua ila wanajua madhara yake.

Kuwa serious na afya yako acha comedy na uhai, najua jitihada zako za kuwekewa puto ila zimekaa kikomedy comedy huenda hata sio kweli.

Wewe ni bingwa wa nyimbo za misiba, marafiki zako na ma DJ watapiga sana nyimbo zako siku ukifa wakati uwezo wa kukusaidia wanao sasa ila wanaona hauko serious.
Kila nafsi itaonja mauti ila kutangulia mapema sio powa
Umenikumbusha mpendwa wetu shati lake lililokuwa linafunika Vitz....
 
Back
Top Bottom