Peter Msechu acha comedy kwenye afya yako, utakufa premature utuachie mkeo, watoto wako watateseka

Peter Msechu acha comedy kwenye afya yako, utakufa premature utuachie mkeo, watoto wako watateseka

Hakuna ajuaye atakufa lini, ila kuna life style usipozingatia unajiwahishia mwenyewe kaburini,
Tupac nilijua atauliwa tu baafa ya diss track ya Hit them up, Amina Chifupa alijua atakufa baada ya kusema atawataja wauza udaga, Langa, Mangwea walijiwahisha mbele za haki sababu ya udaga, huenda wangekuwa hai mpaka leo, ulale na malaya bila kinga au uendeshe gari kwa speed kali 130 useme ajali kazini...hakika utakufa.

Captain John Komba alikuwa mwili nyumba, shati lake unaweza kufunikia gari aina ya IST, Lemutus Tshirt yake ungeweza kutengenezea tent, yule mwanamziki wa marekani ni Big Punisher alifia usingizini premature sababu ya tumbo kama lako, mwenzake Fat Joe machale yakamcheza akapunguza kilo kutoka 150 mpaka 80.

Nimekumbuka kitu kuhusu Capt Komba, siku zake za mwisho aliwahi kusema atakayemsaidia kupungua mwili wake atampa zawadi, alishaona hatari mbele yake, leo hayupo mkewe bado mbichi kabisaa.

Bwana mdogo Peter Msechu sio kwamba Mo Dewji hana hela ndio maana hanenepi, Bill Gates, Dangote, Kikwete wanaweza kufuga matumbo wakiamua ila wanajua madhara yake.

Kuwa serious na afya yako acha comedy na uhai, najua jitihada zako za kuwekewa puto ila zimekaa kikomedy comedy huenda hata sio kweli.

Wewe ni bingwa wa nyimbo za misiba, marafiki zako na ma DJ watapiga sana nyimbo zako siku ukifa wakati uwezo wa kukusaidia wanao sasa ila wanaona hauko serious.
Kila nafsi itaonja mauti ila kutangulia mapema sio powa
Dhiki mbaya sana. Alijaribu ku impress watu kwa kitambi. Umaskini unawafanya waamini kitambi ni status symbol. Hasahasa malimbukeni, mwenzake nae baba levo tena anakisifia kabisa, eti hakimwashi😂
 
Watu wanene ninaowajua Walibarikiwa kuwa na Akili Kubwa ( Intelligent ) kwa Mimi najua alikuwa ni Hayati Mkapa tu pekee, ila kwa Wengine huwa ni 95% Fools. Hata Mwalimu wangu Mmoja wa Saikolojia aliwahi kuniambia huwezi kuwa Mnene sana ( kama alivyo Peter Msechu Pichani ) halafu ukawa na Akili Kubwa ( Mwerevu ) na ikitokea ukamkuta Mtu wa aina hiyo basi jua kapata tu bahati kutoka kwa Mungu.
Daaa, wejamaa mbona umewaza vilevile
 
Hakuna ajuaye atakufa lini, ila kuna life style usipozingatia unajiwahishia mwenyewe kaburini,
Tupac nilijua atauliwa tu baafa ya diss track ya Hit them up, Amina Chifupa alijua atakufa baada ya kusema atawataja wauza udaga, Langa, Mangwea walijiwahisha mbele za haki sababu ya udaga, huenda wangekuwa hai mpaka leo, ulale na malaya bila kinga au uendeshe gari kwa speed kali 130 useme ajali kazini...hakika utakufa.

Captain John Komba alikuwa mwili nyumba, shati lake unaweza kufunikia gari aina ya IST, Lemutus Tshirt yake ungeweza kutengenezea tent, yule mwanamziki wa marekani ni Big Punisher alifia usingizini premature sababu ya tumbo kama lako, mwenzake Fat Joe machale yakamcheza akapunguza kilo kutoka 150 mpaka 80.

Nimekumbuka kitu kuhusu Capt Komba, siku zake za mwisho aliwahi kusema atakayemsaidia kupungua mwili wake atampa zawadi, alishaona hatari mbele yake, leo hayupo mkewe bado mbichi kabisaa.

Bwana mdogo Peter Msechu sio kwamba Mo Dewji hana hela ndio maana hanenepi, Bill Gates, Dangote, Kikwete wanaweza kufuga matumbo wakiamua ila wanajua madhara yake.

Kuwa serious na afya yako acha comedy na uhai, najua jitihada zako za kuwekewa puto ila zimekaa kikomedy comedy huenda hata sio kweli.

Wewe ni bingwa wa nyimbo za misiba, marafiki zako na ma DJ watapiga sana nyimbo zako siku ukifa wakati uwezo wa kukusaidia wanao sasa ila wanaona hauko serious.
Kila nafsi itaonja mauti ila kutangulia mapema sio powa
Jamaa nimemwona anajielewa, wewe inakuuma nini kama ataishi au atakufa? Afya yake inakuwaje tatizo kwako hadi utoke hadharani kumpa ushauri? Huna ndugu au marafiki wa karibu ambao pengine wangehitaji na kunufaika na ushauri wako, tena kwa faragha?
 
Ila watu wa humu mna balaa.
Okay, mke mdogo nipo hapa....nitampa ushauri wenu.

Ila sidhani kama aliwahi weka puto.
Nadhani ile ilikuwa chai tu.
Ninawafahamu vyema watu si chini ya 5 waliowekewa puto Mloganzila Hospital na wakafanikiwa kupunguza uzito vizuri tu.
Hata mi nahisi hajaweka puto,huyu hata akiishi miaka mingiila atachapiwa sana
Jamaa nimemwona anajielewa, wewe inakuuma nin kama ataishi au atakufa?
Hujielewi siku ukikua utaelewa
 
Hakuna ajuaye atakufa lini, ila kuna life style usipozingatia unajiwahishia mwenyewe kaburini,
Tupac nilijua atauliwa tu baafa ya diss track ya Hit them up, Amina Chifupa alijua atakufa baada ya kusema atawataja wauza udaga, Langa, Mangwea walijiwahisha mbele za haki sababu ya udaga, huenda wangekuwa hai mpaka leo, ulale na malaya bila kinga au uendeshe gari kwa speed kali 130 useme ajali kazini...hakika utakufa.
Daaa...zote ni point muhimu sana mkuu.....Bravo✌️

Kunakujiwahisha kwa matendo yetu binafsi🙏🏽
 
NI NANI HUYO MTU? KILA MTU AKIANZA KULETA PICHA ZA NDUGU ZAKE AU RAFIKI ZAKE KUWASEMA HUMU TUTAELEWANA KWELI? ANAJIHUSISHA NA NINI AU NI NANI?
 
Mimi nawapa Ushauri tu, hakikisha Una Alkaline nyingi mwilini.

Usikose limao kila siku, chai kamulia nusu limao, kabla ya kulala glasi ya maji kamulia nusu ya limao.

Fanya huu kuwa mtindo wako wa maisha utaepuka mengi.

Mimi sifanyi diet yoyote lakini siwezi kutoka kitambi hata siku moja.
 
Back
Top Bottom