Peter Msechu acha comedy kwenye afya yako, utakufa premature utuachie mkeo, watoto wako watateseka

Peter Msechu acha comedy kwenye afya yako, utakufa premature utuachie mkeo, watoto wako watateseka

Jitahidi kufanya na kufuatilia yanayokuhusu katika shughuli za Maisha yako ya kila siku,,Ya Walimwengu na Ulimwengu ni mengi mnoo,,sidhani na sifikirii kama unaweza kuyamaliza Kamwe###DoYourselfAlways###
 
ukuda tu.. kwa maisha ya msechu unafkiri hajui madhara yake

angeweka puto? kuweka puto ni sh ngapi mnajua?

acheni maushauri mengiiii kwa mtu na maisha yake..

Yani asi enjoy maisha kisa ana Tumbo kubwa abaki asicheke,asichekeshe,asiishi maisha yake kisa Tumbo nyie wa wapi?

Watu wanakufa kwa kuishi na vihoro na misongi ya mawazo, kubali maisha uliyonayo kisha songa.mbele..

Nashangaa mtoa ushauri unaona kilema cha tumbo la msechu ila huoni kilema cha umaskini ulionao.. Umaskini ni mbaya kuliko lile tumbo

usipokua makini utakufa utamuacha mwenzako... Pambana utokomeze umaskini kwanza halafu utaona kama akili yako itawaza ya kina Peter Msechu.
 
ukuda tu.. kwa maisha ya msechu unafkiri hajui madhara yake

angeweka puto? kuweka puto ni sh ngapi mnajua?

acheni maushauri mengiiii kwa mtu na maisha yake..

Yani asi enjoy maisha kisa ana Tumbo kubwa abaki asicheke,asichekeshe,asiishi maisha yake kisa Tumbo nyie wa wapi?

Watu wanakufa kwa kuishi na vihoro na misongi ya mawazo, kubali maisha uliyonayo kisha songa.mbele..

Nashangaa mtoa ushauri unaona kilema cha tumbo la msechu ila huoni kilema cha umaskini ulionao.. Umaskini ni mbaya kuliko lile tumbo

usipokua makini utakufa utamuacha mwenzako... Pambana utokomeze umaskini kwanza halafu utaona kama akili yako itawaza ya kina Peter Msechu.
We ni mke wa msechu bila shaka
 
Nje ya mada

Kitu nilichokuja kugundua..

Kijana (hasa mwanaume) ukianza kushika hela in your 20's, na ukakosa control hasa kwenye vyakula na mazoezi, ukafakamia mabia, manyama choma na makitimoto, by the time unagonga 30 -35 tayari una obesity. Usiposhtuka, ukifika 40 tayari una kisukari na presha, na watoto unakuta ndio kwaanza wako primary school! Na kama ulikua unacheza rafu hapo unakuta na ukimwi juu. Hapo ni kuanza ruti za hospitali, ni madawa mfululizo, hujakaa sawa figo zinafeli, ni mwendo wa dialysis kila wiki. Ukibahatika kugonga 50 uko hoi bin taabani. 😥 Hii naongea from experience.
 
Jitahidi kufanya na kufuatilia yanayokuhusu katika shughuli za Maisha yako ya kila siku,,Ya Walimwengu na Ulimwengu ni mengi mnoo,,sidhani na sifikirii kama unaweza kuyamaliza Kamwe###DoYourselfAlways###
Wewe niwakukuacha tu na less knowledge yako
Nje ya mada

Kitu nilichokuja kugundua..

Kijana (hasa mwanaume) ukianza kushika hela in your 20's, na ukakosa control hasa kwenye vyakula na mazoezi, ukafakamia mabia, manyama choma na makitimoto, by the time unagonga 30 -35 tayari una obesity. Usiposhtuka, ukifika 40 tayari una kisukari na presha, na watoto unakuta ndio kwaanza wako primary school! Na kama ulikua unacheza rafu hapo unakuta na ukimwi juu. Hapo ni kuanza ruti za hospitali, ni madawa mfululizo, hujakaa sawa figo zinafeli, ni mwendo wa dialysis kila wiki. Ukibahatika kugonga 50 uko hoi bin taabani. 😥 Hii naongea from experience.
Vijana wangezingatia huu ushauri wako,tatizo ni wabishi sana
 
Amekuwa kama hippopotamus
Huyo hapo
JamiiForums-1234616416.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ni lifestyle tu, umewachek kina Dj Khalid, Rick Ross... nimegundua ukifatilia sana maisha ya watu, nikujisumbua tu.
 
Back
Top Bottom