Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Na tunaotoa ushauri wenyewe hatuna ndoa hapo ndo utajua hujui 😂😂😂😂Hapa tunashauri hadi Ndoa......sembuse Afya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na tunaotoa ushauri wenyewe hatuna ndoa hapo ndo utajua hujui 😂😂😂😂Hapa tunashauri hadi Ndoa......sembuse Afya?
Upande upandeHuyu lazima atakuwa anasaidiwa kugongewa mkewe. Lile tumbo anakulaje mzigo?
Ugonjwa huuAmekuwa kama lodi lofa wagazeti la saniView attachment 2962977
jamaa apambane apunguze mwili kwa namna yoyote ile.hatari sana Mungu amsaidie.Amekuwa kama lodi lofa wagazeti la saniView attachment 2962977
Kwamba ni kidudu mtu ama?🤣🤣Life style ya ovyo sana,ila wenzake ni warefu na wqnafanya mazoezi bila shaka,sasa huyu mwenzetu dah haya bana
Kazaliwa na kukulia kigoma,kajamjini ukubwani,kilichomletaa mjini ni BSS shukrani kwa madam RittaHuyo boya puto kwanza kaleta dharau kwasisi wala wali maharage live.
Eti alipokula sijui aliharisha siku 3.
Sisi tunakula maharage na mpunga kila siku,hata iwe eid pasaka twende.
Huyu mbuzi eti aliharisha.
Kazaliwa wapi huyu.
Bwege sana huyu,badala akafanye mazoezi apunguze hilo litumbo lake.Kazaliwa na kukulia kigoma,kajamjini ukubwani,kilichomletaa mjini ni BSS shukrani kwa madam Ritta
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kweli kabisaAmekuwa kama lodi lofa wagazeti la saniView attachment 2962977
Amekuwa kama lodi lofa wagazeti la saniView attachment 2962977
🤣🤣 bila shaka amegusa sehemu isiyogusikaWewe na huyo mwalimu wako na hata pita msechu wote hamna akili