Peter Msechu acha comedy kwenye afya yako, utakufa premature utuachie mkeo, watoto wako watateseka

Peter Msechu acha comedy kwenye afya yako, utakufa premature utuachie mkeo, watoto wako watateseka

Huyu lazima atakuwa anasaidiwa kugongewa mkewe. Lile tumbo anakulaje mzigo?
Upande upande
JamiiForums-1234616416.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Huyo boya puto kwanza kaleta dharau kwasisi wala wali maharage live.
Eti alipokula sijui aliharisha siku 3.
Sisi tunakula maharage na mpunga kila siku,hata iwe eid pasaka twende.
Huyu mbuzi eti aliharisha.
Kazaliwa wapi huyu.
 
Huyo boya puto kwanza kaleta dharau kwasisi wala wali maharage live.
Eti alipokula sijui aliharisha siku 3.
Sisi tunakula maharage na mpunga kila siku,hata iwe eid pasaka twende.
Huyu mbuzi eti aliharisha.
Kazaliwa wapi huyu.
Kazaliwa na kukulia kigoma,kajamjini ukubwani,kilichomletaa mjini ni BSS shukrani kwa madam Ritta
 
Ila watu wa humu mna balaa.
Okay, mke mdogo nipo hapa....nitampa ushauri wenu.

Ila sidhani kama aliwahi weka puto.
Nadhani ile ilikuwa chai tu.
Ninawafahamu vyema watu si chini ya 5 waliowekewa puto Mloganzila Hospital na wakafanikiwa kupunguza uzito vizuri tu.
 
Back
Top Bottom