Kwa hiyo wewe huwaamini kina Janabi?Medical Drs kwa local content siwaamini, most likely life expectancy yake itakuwa 10-15 years just my assumption based on typical errors of of our locally trained Drs, 70% guess work and learning through fatal mistakes kwenye miili yetu, huruma na roho wa Mungu hafifu sana
HAPANAMATANGAZO YA BIZINESI
ova
Duh!.Bado ana kilo 136.5, kwani haiwezekani kumeza maputo matatu apunguze kilo tatu kwa siku?
Yaani wewe aacha tu, kuna jamaa kila nikienda ofisini kwake yeye ni coca na mavyakula mengine nimwangalia mwili wake na jinsi anavyobugia hayo mavyakukula mengine hadi namwonea huruma lkn yeye anaona ni sawa tu.Kupungua kilo 7 katika 143 bado sana. Hivi binadamu unafikishaje uzito huo? Uzembe kupindukia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Peter Puto Msechu
Nyoko we[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi mtu akiweka puto sawa anapungua,je kibamia itakuwaje,kitarefuka au Hapa Tz kuna Hosp ya kuongeza dushe twende[emoji3]
Puto likimpukutisha uzito na kumaliza kabisaa, tutamwekea kitofali tumboni ili awe na uzito wa kuzuia upepo usimpeperushe😀Kupungua kilo moja ndani ya siku moja, hilo siyo jambo la kufurahia.
Kitu umekiweka kwa miaka kadhaa ukiondoe kwa siku moja. Ni hatari.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bado ana kilo 136.5, kwani haiwezekani kumeza maputo matatu apunguze kilo tatu kwa siku?
Cha kujifunza hapa ni kwamba uzito wa mtu kisababishi kikuu ni ulaji wa hovyo wa chakula. Baada ya miezi 6 na puto likitolewa akaanza kula tena hovyo hovyo unene utarudi tena kama mwanzo.Hongera kwake. Hakika unene kupita kiasi ni kifo.
Bora kaweka puto kuokoa uhai wake.
Ni mifuta tuuu hiyo mkuu ilikuwa imelundikana mwiliniKupungua kilo moja kwa siku, sio jambo la kupigiwa makofi! Anyways
sahihi.Cha kujifunza hapa ni kwamba uzito wa mtu kisababishi kikuu ni ulaji wa hovyo wa chakula. Baada ya miezi 6 na puto likitolewa akaanza kula tena hovyo hovyo unene utarudi tena kama mwanzo.
Huyo sasa anakitafuta kifo, coca na mazagazaga halafu anakaa kitini 12 hrs za ofisi no mazoezi.Yaani wewe aacha tu, kuna jamaa kila nikienda ofisini kwake yeye ni coca na mavyakula mengine nimwangalia mwili wake na jinsi anavyobugia hayo mavyakukula mengine hadi namwonea huruma lkn yeye anaona ni sawa tu.
Watu washafanya tafiti, au mnadhani hiyo tiba imeanzia hapa?ntashangaa sana kama Muhimbili watasema hii ni sawa.
Kwamba hii rate ya ushukaji wa hizi kilo ndo lengo pekee haijalishi mwili unapitia mchakato mwingine upi unaohusisha na kuathiri viungo vipi?
Kazi ipo!
Ras Jeff kapita wewe mtu ntakuja kukutafuta tuombe uzima tuu Mkuu nacheka sana jumbe zako...Umekuwa chibonge utaweza kweli mbuzi kagoma kwenda au popo kanyea mbingu, au twende kwa mshihiri!!?
ni mafuta yaliohifadhiwa sehemu mbalimbali za mwilini, mwili unayachoma ili kujingenezea energy, maana energy iliokuwa inapata toka kwenye vyakula haipo tena au ni kidogo haitoshi.Si ndio mwili unajimeng'enya maana unajua hakuna virutubisho vipya, maana ukinywa tu maji umeshiba, mara hausikii njaa kabisa, wakati mwili unahitaji chakula hivyo mwili unaanza kujipunguza kutumia virutubisho vilivyopo mwilini
We jamaa. Ishu ni simple tu(complicated ukipenda) na ipo hivii.Mimi napakia ili nifike japo Kg 75 ila mwili umegomea 68. Daah natamani kua chibonge