mzushi flani
JF-Expert Member
- Jan 20, 2020
- 1,627
- 2,473
una shauku ya kujua?Halafu nasikia mwanaume akiwa mneneeeee anakuwa na kibamia
10 years wanastahili pongezi asee...
Sisi hatuna nongwa mkuu, tena mimi mkristo nikiongea kuhusu uzinzi wao nitaambiwa nahukumuKwa hiyo miaka kumi walikua wanazini,na wamepata watoto wawili ndani ya zinaa yao?
Hiyo kwetu sisi waislamu,Kama dini nyingine sijui taratibu zao zikoje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii coment yako badala ya kuhuzunisha inachekesha sijui kwa nini [emoji23] "Hakuna anayependa kuwa simtenki"Wengine huwa ni maumbile/ugonjwa. Hujafa hujaumbika. Hakuna anayependa kuwa simtenki!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona sugu kaoa juzi juzi tu..
Kwa hiyo Sugu ndio marking scheme?Mbona sugu kaoa juzi juzi tu..
Kwa hiyo msechu ndio marking scheme ya kushangaa alikuwa hajaoa?
Tembo hashindwi na mkonga wakeInamaana hapo anapokula mzigo huo mwili wote si anamlalia huyo dada?..kweli wanawake majasiri
Nimecheka sana eti simtank [emoji23][emoji23][emoji23]Wengine huwa ni maumbile/ugonjwa. Hujafa hujaumbika. Hakuna anayependa kuwa simtenki!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi nimesema ni marking scheme?Kwa hiyo msechu ndio marking scheme ya kushangaa alikuwa hajaoa?