barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Nami wapi nimesema sugu ni marking scheme?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nami wapi nimesema sugu ni marking scheme?
Nami wapi nimesema sugu ni marking scheme?
Wameoana mika kumi iliyopita, wana watoto wawili. hapo walikuwa wanafunga ndoa
Tofauti ya kuoana na kufunga ndoa ni nini?Wameoana mika kumi iliyopita, wana watoto wawili. hapo walikuwa wanafunga ndoa
Kwenye ulimwengu wa roho namuona mleta mada ana ngozi na mifupa tu
kuoana ni kukubali kuishi pamoja kama mke na mume.
Hamna mi mwembamba sana sema nina mapumbu makubwa kama ya ng'ombeMwenye ulimwengu wa roho nakuona wewe ni bonge nyanya
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu kuna picha zimeonesha kwamba huyu jamaa alikua na mwili wa kawaida tu tena alikua nae huyu aliemuoa ni mchumba wake wa miaka 10 sasa unene wake ni wa kupenda kula nadhani..video ipo lwa millardayo...IGWengine huwa ni maumbile/ugonjwa. Hujafa hujaumbika. Hakuna anayependa kuwa simtenki!
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee!Hamna mi mwembamba sana sema nina mapumbu makubwa kama ya ng'ombe
Alipoingia kwenye Tusker Project Fame ambayo ndio ilimpa kiki alikua na bodi la kawaid tu!!!Mkuu kuna picha zimeonesha kwamba huyu jamaa alikua na mwili wa kawaida tu tena alikua nae huyu aliemuoa ni mchumba wake wa miaka 10 sasa unene wake ni wa kupenda kula nadhani..video ipo lwa millardayo...IG
Alipoingia kwenye Tusker Project Fame ambayo ndio ilimpa kiki alikua na bodi la kawaid tu!!!
....Inamaana hapo anapokula mzigo huo mwili wote si anamlalia huyo dada?..kweli wanawake majasiri
Ila Mustapha Hassanali alishanishangaza aisee alivyopungua!!!!!Shida ni kula. Afanye operation ya Gastric bypass imsaidie aweze kupunguza addiction ya kula. Hii imemsaidia Mustapha Hassanali na Wema Sepetu.
SureAcha Tusker PF, alianzia BSS.
Wanasema surgery ile!!!