Peter Msechu afanye mazoezi la sivyo atakuja kulia lia kama Stamina

Peter Msechu afanye mazoezi la sivyo atakuja kulia lia kama Stamina

Ukiwa na kitambia Athumani kipara anaingia kwa ndani anajificha chini ya uvungu wa kitambi hata akisimamisha anakua tupo chini sana ukiwa na kitambi kugongewa mkeo ni 95% guarantee...
 
Wengine huwa ni maumbile/ugonjwa. Hujafa hujaumbika. Hakuna anayependa kuwa simtenki!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuna picha zimeonesha kwamba huyu jamaa alikua na mwili wa kawaida tu tena alikua nae huyu aliemuoa ni mchumba wake wa miaka 10 sasa unene wake ni wa kupenda kula nadhani..video ipo lwa millardayo...IG
 
Mkuu kuna picha zimeonesha kwamba huyu jamaa alikua na mwili wa kawaida tu tena alikua nae huyu aliemuoa ni mchumba wake wa miaka 10 sasa unene wake ni wa kupenda kula nadhani..video ipo lwa millardayo...IG
Alipoingia kwenye Tusker Project Fame ambayo ndio ilimpa kiki alikua na bodi la kawaid tu!!!
 
Back
Top Bottom