Burnaboy
JF-Expert Member
- Dec 2, 2019
- 1,070
- 1,439
š¤£Mwili wote huo si ampunguzie rafiki yake Baba Levo kidogo. Mwenzake kakonda kama mbu wa kiangazi ila yeye ananenepa na bado anasema ni rafiki yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
š¤£Mwili wote huo si ampunguzie rafiki yake Baba Levo kidogo. Mwenzake kakonda kama mbu wa kiangazi ila yeye ananenepa na bado anasema ni rafiki yake.
nkajua una shauku nikupe connection na mtu bonge na ana kitamb mchuchumo.Nope!
Kwenye ulimwengu wa roho namuona mleta mada ana ngozi na mifupa tu
Mwenye ulimwengu wa roho nakuona wewe ni bonge nyanya
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wanawake wana huruma sana, wabarikiwe.Wanawake Mungu anawaona. Huo mzigo wote!!!!
Inawezekana lakin sidhan kwa msechu cz wengi tunamjua toka enz za BSS.Mbona alikua fresh tuWengine huwa ni maumbile/ugonjwa. Hujafa hujaumbika. Hakuna anayependa kuwa simtenki!
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kula mkuuMkuu nyama haina shida kama wanga,nyama ukila kilo nzima ukienda chooni unainya kilo kama kawaida,ndiyo maana hata wafanya mazoezi sana hasa wale wabeba vitu vizito hata wacheza mpira wa miguu wanashauriwa wale nyama kwa wingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyama Ni protein na protein ikizidi katika mwili inabadilishwa kuwa glycogen through process inaitwa guconeogenesis ambayo inafanyika kwenye maini then inahifadhiwa , so nyama nyngi sio nzurii unaongeza uzito kama kawaMkuu nyama haina shida kama wanga,nyama ukila kilo nzima ukienda chooni unainya kilo kama kawaida,ndiyo maana hata wafanya mazoezi sana hasa wale wabeba vitu vizito hata wacheza mpira wa miguu wanashauriwa wale nyama kwa wingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wengine huwa ni maumbile/ugonjwa. Hujafa hujaumbika. Hakuna anayependa kuwa simtenki!
Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo midini inabrain wash tuKwa hiyo miaka kumi walikua wanazini,na wamepata watoto wawili ndani ya zinaa yao?
Hiyo kwetu sisi waislamu,Kama dini nyingine sijui taratibu zao zikoje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujui kuumba usiumbue..binadamu mwenzio unamuitaje dude.Hivi dude kama hilo eti ndio limuoe binti yako kweli lakini haya ndio Gardner mzee wa kukojoza huwa anayataka yamemuoe binti yake
Halafu nasikia mwanaume akiwa mneneeeee anakuwa na kibamia
Sijawahi Dr. WansegamilaUmewahi "kutest"?
joanah