Sehem kubwa unene unatokana na unachokula.Ala asili ya unene hata afanyeje atakua mnene tu ndo kaumbwa hivoo
This is too much sasa.Huyu hapa
Nadhani huyu jamaa anahitaji msaadaThis is too much sasa.
This is too muchHuyu hapa
KabisaNadhani huyu jamaa anahitaji msaada
Watu walioko karibu nae waangalie jinsi ya kumsaidia aisee hili ni limeshakua tatizo.Kabisa
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji3][emoji23]Sehem kubwa unene unatokana na unachokula.
Aende jela yule mwezi tu halafu uniambie kama kuna cha asili au nini.
Anapenda misosi nenda insta yake kule anatangaza migebuka.
Hivi ndio alivyo au ana kaugonjwa fulani, maana ni mwepesi ktk kutembea au kurukaruka na anaonekana tumboni ndio bonge...
Huyu hapa
vipi kuhusu wanawake vibonge?Inamaana hapo anapokula mzigo huo mwili wote si anamlalia huyo dada?..kweli wanawake majasiri
Huyo akijisaidia lazima anaacha 5kg au 7kg ya choo chake,hata akienda kupima stool hosp huwa anatoa 1kg[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]dah
Tumbo n meza yake,yani jamaa ni mtoto wa temboHuyu hapa
Covid ikimpiga haombi majiWatu walioko karibu nae waangalie jinsi ya kumsaidia aisee hili ni limeshakua tatizo.