DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Mwili wa kifala Sana huuHuyu hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwili wa kifala Sana huuHuyu hapa
Hapana zamani alikuwa mwembabaAla asili ya unene hata afanyeje atakua mnene tu ndo kaumbwa hivoo
Mkuu Acha kabisa kupenda Kula Kula ni tatizoo sana na kazi za kukaa Sana hasa udereva wa Masafa marefu ,na kazi za ofsin jumlisha misosi ya mafuta , kufakamia mi-supu hyo, sjui chipsi , nyama nyama na nyama choma , bugger hzo, utumiaji wa sukari na hzi carbonated soft drinks ni tatizo .....alaf kitambi kikishakuja asikudanganye mtu kukitoa sio kazi rahsi labda utumie dawa nazo zina madhara .....Huyu jamaa inabidi akajitolee jkt 6months. Kitambi kipungue njia nyingine haiwezekani.
Vibonge wanajipenda sana kwenye maswala ya misosi, halafu huwa wanawahi sikia njaa
Oops!! Msechu Anapewa Nongwa Sasa HiviHalafu nasikia mwanaume akiwa mneneeeee anakuwa na kibamia
Yaani......unaweza kudhania ni picha tu imekuwa manipulated (kama katika mojawapo ya movies za Eddie Murphy.....Nutty Professor?).........pole kwake na kwa mkewe/mpenzi wake.Peter msechu- mwaka 2021[emoji116]View attachment 1732014
Umesikia au ushaonaHalafu nasikia mwanaume akiwa mneneeeee anakuwa na kibamia
Anakula watu???Huyu hapa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]km katuni!!!Peter msechu- mwaka 2021[emoji116]View attachment 1732014
Linaona sifaa mnoo limwili lile yaani ni mjinga sana
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
wanavumiliana.. bora upate anayekuvumilia hahahaha