JackisonDubai
JF-Expert Member
- Mar 27, 2023
- 537
- 1,282
Mfaniki mkubwa huyo na wenzie ..akae kimya!Aende mbele huko tulivyokuwa tunasema magufuli asapotiwe no mwamba mkajifanya mnaleta chokochoko za uongo Mara ooh jpm kabia trillion 1.5 upuuzi mtupu mnadhani kila MTU mtoto awaamini...yaani serikali Ipate hasara badala muishauri cha kufanya mkaamua kuwa wazushi pumbav kila mtu ale kwa urefu Wa kamba yake sasa
Kwa kweli anaongoza Kwa unafikiMfaniki mkubwa huyo na wenzie ..akae kimya!
Rahisi Yuko vzuri sanaMi nadhani, watu wanakwepa au wanaogopa kusema ukweli na kumkosoa Samia kama walivyofanya kwa Jiwe, kwanini?
Kila mtu ana matarajio ya kuvuna sasa kwa msingi wa uchawa!
Hata umeme unakatika mbele ya waziri mkuuSerikali inaangukia pua pakubwa. RUSHWA.
Wewe msukule wa mboeLeo misukule ya Chato inamuona Msigwa mtu wa maana? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli kabisaMtanikumbuka!
Hata Lisu ipo siku atakiri hiliJpm anabaki kuwa Rais bora kuwahi kutokea Tanzania.
kabisaHata Lisu ipo siku atakiri hili
Ukweli sahivi kila mtu ni mkuuMi nadhani, watu wanakwepa au wanaogopa kusema ukweli na kumkosoa Samia kama walivyofanya kwa Jiwe, kwanini?
Kila mtu ana matarajio ya kuvuna sasa kwa msingi wa uchawa!
Mama anaupiga mwingi[emoji3][emoji3]Kuna msen€ mmoja TRA ameacha kumhudumia mtu eti kisa hajasikia akimsalimia … mtu amekwenda kulipa kodi kwa hiyari amesalimia hujasikia unaacha kumhudumia?
Inasikitisha sanaKuna msen€ mmoja TRA ameacha kumhudumia mtu eti kisa hajasikia akimsalimia … mtu amekwenda kulipa kodi kwa hiyari amesalimia hujasikia unaacha kumhudumia?