Peter Msigwa aivaa Serikali kutokana na kushuka kwa nidhamu ya watumishi wa umma

Peter Msigwa aivaa Serikali kutokana na kushuka kwa nidhamu ya watumishi wa umma

Peter Msigwa naye atakuwa sukuma gang.

Hii nchi vinatakiwa viboko kwa kila mtu, hakuna demokrasia sijui katiba itakayomuweza Mtanzania mjinga kwa sasa.

Chapa mijeledi na viboko, sweka watu jela, filisi watu wajinga, wezi, wahujumu uchumi nk...ukifanya hivi 20yrs mambo yatanyooka na kila mtu atatii, hapo ndio unaweka sasa Katiba na demokrasia maana nzi wote wanakuwa mbali.

Moja ya strategy kwenye management ni kuwavuruga kwanza watu, hasa hawa waliokaa pamoja muda mrefu na kutengeneza vicartel vyao ndani ya mifumo, maana hivyo vicartel hukwamisha kila kitu kitakachoharibu maslahi yao.
 
Zitto wakati akihojiwa na Clouds alikiri kipindi cha JPM watumishi walikuwa na nidhamu ktk utendaji wao na walikuwa wanatekeleza wajibu wa vizuri kwa umma.

Mzushieni ila jamaa alitengeneza nidhamu ktk taasisi za umma.
 
Hata umeme unakatika mbele ya waziri mkuu

maana yake ni mazoea kupita kiasi, yaani wajinga wanaamini hata PM hana cha kuwafanya.... Kuna wakati wazembe lazima wafe ili watu watambua uzembe hauruhusiwi katika nchi hii na lazima ufikirie mbinu zote zitakazokuoka na adhabu ya uzembe.
 
Zitto wakati akihojiwa na Clouds alikiri kipindi cha JPM watumishi walikuwa na nidhamu magazine na walikuwa wanatekeleza wajibu wa vizuri kwa umma.

Mzushieni ila jamaa alitengeneza nidhamu ktk taasisi za umma.
Ufipa nafsi zinawasuta
 
Hii nchi vinatakiwa viboko kwa kila mtu, hakuna demokrasia sijui katiba itakayomuweza Mtanzania mjinga kwa sasa.
Wamesha double na kuweka lumbesa kabisa kwenye bei ya ndege huko!

Eti watupishe,
 
Tumezoea kumpaka mafuta Saa 100 kwa kusema anaupiga mwingi. Bashiru alisema ukweli
Sasa tuseme ukweli na tumrudie JPM
Tunamkumbuka
 
Mbunge msitaafu wa Jimbo la Iringa mjini kupitia CHADEMA mchungaji Peter Msigwa ameivaa serikali ya Rais Samia kutokana na kushuka Kwa nidhamu ya watumishi wa umma nchini.

Msigwa amesema utendaji kazi wa watumishi wa Serikali kwa sasa ni wa hovyo sana tofauti na kipindi cha Rais Magufuli.

Sasa hivi rushwa, ufisadi na kupoteza muda ni kama fashion kwenye serikali ya Rais Samia.


Anaweza kuthibitisha Hilo?
 
Mbunge msitaafu wa Jimbo la Iringa mjini kupitia CHADEMA mchungaji Peter Msigwa ameivaa serikali ya Rais Samia kutokana na kushuka Kwa nidhamu ya watumishi wa umma nchini.

Msigwa amesema utendaji kazi wa watumishi wa Serikali kwa sasa ni wa hovyo sana tofauti na kipindi cha Rais Magufuli.

Sasa hivi rushwa, ufisadi na kupoteza muda ni kama fashion kwenye serikali ya Rais Samia.


Halafu ni Wachache Wana KAZI za Kufanya Asubuhi mpaka Jioni. Wengine Story na utaambiwa kuna Uhaba WA Watumishi. Utumishi WA Umma haufatlii Watumishi hufanya na hufanyaje Majukumu Yao Daily. Ni Chai, Chat, Lunch + home. Wengine kuvizia Safari Wajipatie Laki 2 Kwa Siku. Kuna Watumishi wanasafiri miezi hawapo Ofisini. Vikao vya posho kila Siku
 
Mtumishi analipwa 2m Kwa Mwezi, lakini anaamka Asubuhi kwenda Ofisini hajui anaenda Kufanya Nini. Hakuna KAZI za uzalishaji.
 
Back
Top Bottom