Pre GE2025 Peter Msigwa amwandikia Mbowe barua akidai fidia ya Tsh. Bilioni 10

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Heheh wanamdanganya huyu fake pastor hapa naona amemwagia mafuta kwenye moto. Anaomba kukaa mezani yazungumzwe halafu anatishia blalifaken tukutane mahakamani tutajua nani anapaswa kumlipa mwenzake .
 
Msigwa hajaua na kamwe siyo muuaji

Tuache upuuzi wa kusingizia

Tubaki kwenye ramani ya mbowe na msigwa
Tuachie mamlaka yatabainisha ukweli. Alisikika kwenye maswali aliyokuwa akijibu kwenye mtandao wa sauti ya watanzania akimtaja ally kama kiongozi hatari wa kikundi cha hamasa cha chadema na siku chache baadae mzee ally kauwawa kikatili.
 
Msigwa hajaua na kamwe siyo muuaji

Tuache upuuzi wa kusingizia

Tubaki kwenye ramani ya mbowe na msigwa
Inawezekana hajaua ila comments zake zimetoa suggestion, unapomtag as a threat what else do you expect zaidi ya mashambulizi?
 
Mbowe amemwambia msigwa kuwa amefanya defamation sasa anapoleta ujinga na hao wajinga wenzio atapata anachokitafuta.
Mawakili wa Msigwa wanaosema Mbowe kafanya character assassination (mashambulizi ya tabia). Huu mtifuano unaweza ukaamuliwa na ICC huu.
 
Huu sii muda wa maigizo ni muda muhimu wa mambo muhimu yanayo lihusu taifa letu.Tuacheni na yaliyo muhimu zaidi.
 
Jina la Msigwa na wala yy Msigwa hana hadhi ya hiyo hela, hadhi yake ni ya buku 2 au buku jero finito!! Kina Makalla wanamdanganywa mwisho wa siku kesi ni individual!
Kwani baba ndubwi ndiyo Ana hadhi ya 5bn?

Ali’ye wauza in 2015 kwa pesa chache? Na kuua rasmi chakademus and pliers?

Come on
 
Mbowe yupo kimya anamsubiri ambane mahakamani
 
Ngoja anyooshwe
 
Hawa mawakili akili zao ni sawa na za Msigwa. Njaa mbaya sana
 
Na mimi nawashitaki kwa kutusumbua waniombe radhi au watoe 15B kama fidia 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…