Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Sahihi kabisaKibaya zaidi anaweza towezwa nae...ili kutupa ushahidi kwa lile alilosababisha!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisaKibaya zaidi anaweza towezwa nae...ili kutupa ushahidi kwa lile alilosababisha!!
mimi naamini kabisa ni yeye.Inawezekana Mch Peter Msigwa ndiye aliyemchoma Marehemu Ally Kibao?
mungu wangu eee kumbe msigwa ndo muasisi wa mauaji na utekajiTuachie mamlaka yatabainisha ukweli. Alisikika kwenye maswali aliyokuwa akijibu kwenye mtandao wa sauti ya watanzania akimtaja ally kama kiongozi hatari wa kikundi cha hamasa cha chadema na siku chache baadae mzee ally kauwawa kikatili.
Baada ya kuvaa hiyo kofia amekuwa kama anajingojea miezi 9Baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe kumtaka Mchungaji Peter Msigwa kuomba radhi na kulipa fidia ya Shilingi bilioni 5 kutokana na madai ya kumkashifu, Mchungaji Msigwa kupitia mawakili wake kutoka Mwamgiga Law Chambers ametoa majibu rasmi.
Katika barua ya majibu ya Msigwa iliyotolewa Septemba 5, 2024 na ambayo inaonesha kupokelewa upande wa Mbowe siku ya Jumatatu Septemba 9, 2024, mawakili wa Msigwa wamekanusha vikali madai hayo wakieleza kuwa sehemu kubwa ya malalamiko ya Mbowe yanakosa msingi wa kisheria.
Mchungaji Msigwa, ambaye alikuwa mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyassa kabla ya kuhamia CCM, amekanusha kuwa matamshi yake yalikuwa na nia ya kumharibia sifa Mbowe. Katika majibu yake, Msigwa ameonesha kutoridhishwa na lugha iliyotumika katika notisi ya Mbowe, akiitaja kuwa "ya kejeli" na yenye lengo la kumchafua hadharani.
Mawakili wa Msigwa wamesema, "Mteja wetu anakataa kwa nguvu maneno yaliyotajwa kwenye barua yako, akisisitiza kwamba madai yote ni ya uongo na hayana msingi wowote wa ukweli."
Pia wametangaza kuwa iwapo Mbowe ataendelea na vitisho na tuhuma hizo, Msigwa atachukua hatua za kisheria kumlinda dhidi ya kile walichokiita "mashambulizi ya tabia" yanayoendelea.
Kwa kuongezea, mawakili wa Msigwa wameweka sharti kwamba Mbowe aombe radhi kwa matamshi yake ndani ya siku tano, na alipe fidia ya Shilingi bilioni 10 kwa uharibifu wa jina na sifa ya Msigwa.
Wamesema pia kuwa Msigwa yuko tayari kwa mazungumzo ya kutatua suala hili kwa njia ya amani, lakini ikiwa Mbowe ataendelea na madai yake, watafungua kesi ya kisheria ili kujitetea.
Barua hiyo imehitimishwa kwa kuashiria kuwa Msigwa ana nia ya kutafuta suluhu nje ya mahakama, lakini yuko tayari kupambana kisheria iwapo haitapatikana njia mbadala.
View attachment 3091693
Pia soma: Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina
Ninyi mdanganyeni hivyo hivyo Msigwa. Mnataka Msigwa aufikie uzee kwa mateso na simanzi kubwa. Atawalaani mliomdanganya.Huuu!!!! Haaaa!!!! Master.
Mashamba na nyumba za Hai zitapigwa mnada
Uyu kachanganyikiwa , mbele giza ,nyuma gizaKumbe kweli Msigwa hakustahili kuwa kiongozi CHADEMA!! Kuna tatizo kubwa kichwani
Sidhani kama hiyo kauli ndiyo sababu ya kuuwawa mimi nazani CDm mtu mwenye mikati ysa front ni bonifasi Jakobo kwa sababbu yeye yupo front kabisa kwenye mapambanoMsigwa damu ya Marehemu Kibao itakutesa hadi siku unaingia kaburini na utapitia mateso makubwa kuliko aliyopitia Mzee Kibao
Mwehu huyu!Baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe kumtaka Mchungaji Peter Msigwa kuomba radhi na kulipa fidia ya Shilingi bilioni 5 kutokana na madai ya kumkashifu, Mchungaji Msigwa kupitia mawakili wake kutoka Mwamgiga Law Chambers ametoa majibu rasmi.
Katika barua ya majibu ya Msigwa iliyotolewa Septemba 5, 2024 na ambayo inaonesha kupokelewa upande wa Mbowe siku ya Jumatatu Septemba 9, 2024, mawakili wa Msigwa wamekanusha vikali madai hayo wakieleza kuwa sehemu kubwa ya malalamiko ya Mbowe yanakosa msingi wa kisheria.
Mchungaji Msigwa, ambaye alikuwa mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyassa kabla ya kuhamia CCM, amekanusha kuwa matamshi yake yalikuwa na nia ya kumharibia sifa Mbowe. Katika majibu yake, Msigwa ameonesha kutoridhishwa na lugha iliyotumika katika notisi ya Mbowe, akiitaja kuwa "ya kejeli" na yenye lengo la kumchafua hadharani.
Mawakili wa Msigwa wamesema, "Mteja wetu anakataa kwa nguvu maneno yaliyotajwa kwenye barua yako, akisisitiza kwamba madai yote ni ya uongo na hayana msingi wowote wa ukweli."
Pia wametangaza kuwa iwapo Mbowe ataendelea na vitisho na tuhuma hizo, Msigwa atachukua hatua za kisheria kumlinda dhidi ya kile walichokiita "mashambulizi ya tabia" yanayoendelea.
Kwa kuongezea, mawakili wa Msigwa wameweka sharti kwamba Mbowe aombe radhi kwa matamshi yake ndani ya siku tano, na alipe fidia ya Shilingi bilioni 10 kwa uharibifu wa jina na sifa ya Msigwa.
Wamesema pia kuwa Msigwa yuko tayari kwa mazungumzo ya kutatua suala hili kwa njia ya amani, lakini ikiwa Mbowe ataendelea na madai yake, watafungua kesi ya kisheria ili kujitetea.
Barua hiyo imehitimishwa kwa kuashiria kuwa Msigwa ana nia ya kutafuta suluhu nje ya mahakama, lakini yuko tayari kupambana kisheria iwapo haitapatikana njia mbadala.
View attachment 3091693
Pia soma: Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina
Baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe kumtaka Mchungaji Peter Msigwa kuomba radhi na kulipa fidia ya Shilingi bilioni 5 kutokana na madai ya kumkashifu, Mchungaji Msigwa kupitia mawakili wake kutoka Mwamgiga Law Chambers ametoa majibu rasmi.
Katika barua ya majibu ya Msigwa iliyotolewa Septemba 5, 2024 na ambayo inaonesha kupokelewa upande wa Mbowe siku ya Jumatatu Septemba 9, 2024, mawakili wa Msigwa wamekanusha vikali madai hayo wakieleza kuwa sehemu kubwa ya malalamiko ya Mbowe yanakosa msingi wa kisheria.
Mchungaji Msigwa, ambaye alikuwa mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyassa kabla ya kuhamia CCM, amekanusha kuwa matamshi yake yalikuwa na nia ya kumharibia sifa Mbowe. Katika majibu yake, Msigwa ameonesha kutoridhishwa na lugha iliyotumika katika notisi ya Mbowe, akiitaja kuwa "ya kejeli" na yenye lengo la kumchafua hadharani.
Mawakili wa Msigwa wamesema, "Mteja wetu anakataa kwa nguvu maneno yaliyotajwa kwenye barua yako, akisisitiza kwamba madai yote ni ya uongo na hayana msingi wowote wa ukweli."
Pia wametangaza kuwa iwapo Mbowe ataendelea na vitisho na tuhuma hizo, Msigwa atachukua hatua za kisheria kumlinda dhidi ya kile walichokiita "mashambulizi ya tabia" yanayoendelea.
Kwa kuongezea, mawakili wa Msigwa wameweka sharti kwamba Mbowe aombe radhi kwa matamshi yake ndani ya siku tano, na alipe fidia ya Shilingi bilioni 10 kwa uharibifu wa jina na sifa ya Msigwa.
Wamesema pia kuwa Msigwa yuko tayari kwa mazungumzo ya kutatua suala hili kwa njia ya amani, lakini ikiwa Mbowe ataendelea na madai yake, watafungua kesi ya kisheria ili kujitetea.
Barua hiyo imehitimishwa kwa kuashiria kuwa Msigwa ana nia ya kutafuta suluhu nje ya mahakama, lakini yuko tayari kupambana kisheria iwapo haitapatikana njia mbadala.
View attachment 3091693
Pia soma: Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina
Barua hiyo imehitimishwa kwa kuashiria kuwa Msigwa ana nia ya kutafuta suluhu nje ya mahakama, lakini yuko tayari kupambana kisheria iwapo haitapatikana njia mbadala😂😂😂😂Barua hiyo imehitimishwa kwa kuashiria kuwa Msigwa ana nia ya kutafuta suluhu nje ya mahakama, lakini yuko tayari kupambana kisheria iwapo haitapatikana njia mbadala
Kwa sababu ulikuwepo wakati marehemu wanakata roho na kukuambia waligongwa na guta?Msigwa hajaua na kamwe siyo muuaji
Tuache upuuzi wa kusingizia
Tubaki kwenye ramani ya mbowe na msigwa
Una tuakili twa kitoto sana.Amka ukaoshe kiuno.Huuu!!!! Haaaa!!!! Master.
Mashamba na nyumba za Hai zitapigwa mnada
This is called tag of warMsigwa damu ya Marehemu Kibao itakutesa hadi siku unaingia kaburini na utapitia mateso makubwa kuliko aliyopitia Mzee Kibao