Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,887
- 7,673
Mkuu Avatar yako ni noumerKwa nn hakupiga yowe rais atoke kumpa msaada?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Avatar yako ni noumerKwa nn hakupiga yowe rais atoke kumpa msaada?
huyu hapa anafunguka facebook
""niliharibikiwa na gari maeneo ya kutokea ikulu mda
sio mrefu,nikavamiwa na vibaka saba mimi pamoja
na dereva wangu ambaye alikuwa anafungua tairi
nimepigwa vizuri ,na nimenyang'wa simu zote na
pesa pamoja na waleti ,hii ndio bongo , ....watu
wengi nitakuwa nimepoteza namba zenu""
.. (ni ikulu ya magogoni)
my take.: Askari wapo bussy na sheikh ponda na faridi?? Its a big joke