Peter Msigwa avamiwa na vibaka maeneo ya Ikulu

Mara ya mwisho nakumbuka kamnanga Kagaseheki kuwa nahusika na huu ujangili
isije ikawa Kamuhanda anajibu mapigo ya kelele za kutaka ajiuzuru maana Msigwa alisimamia maandamano!
get well soon kamanda ila yakupasa kuwa makini maana Tz ya sasa imeshapinda
 

pole mheshimiwa, lakini, ni vibaka ukweli au wale jamaa wa uwt? Maana hayo maeneo ni nyeti! Kama ni vibaka wa ukweli wasamehe, ni njaa tu kinyume chake take care
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…