Uchaguzi 2020 Peter Msigwa awasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Peter Msigwa awasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania

Nilimuona kamanda wa daraja la kwanza alipogoma kupokelewa matarumbeta ya Polepole
 
Mkuu mbona unashindwa kujiamini au kuwaamini wanachadema wenzako kwa hiyo tuseme huna Imani na Msigwa?

Ama Kweli kwa maneno yako basi Chadema inasikitisha kwann unamuamini Lisu tu, na hawa wengine hawaaminiki? Yani wanachadema wenyewe hawaaminiani duuh kazi ipo

pujo
Umesahau! CCM nanyi si mnamuamini Magufuli tu.
 
Mbunge wa Iringa Mjini na Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Nyasa Mheshimiwa Mchungaji Peter Msigwa leo amewasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania,

---
Mbunge wa jimbo la Iringa Mjinikupitia chama cha Democrasia na Maendeleo CHADEMA Peter Msigwa pamoja na Muheshimiwa Tundu Lissu wametangazwa kuwasilisha barua ya kutia niaya kuwania Uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanial

Kwa nyakati tofauti wamewasilisha barua hizo kwa katibu mkuu wa chama hicho ambapo Lissu anadaiwa kuongea na Watanzania muda wowote.

Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa na Mjumbe wa CC ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Peter Msigwa amewasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa chama hicho, ya kutia nia ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania


Mwamba mwenyewe atachukua lini?
 
Sijui akipitishwa kama atapata hata kura moja
Huyu piter msigwa ni jembe tunamkubali ana IQ KUBWA SANA, huyu jamaa ni wa ukweli weka jina baba wewe tundu lissu wote majembe . nchi hii imewatenga sana watumishi wa umma miaka mitano wanatakiwa kufanya kazi kwa bidii kukuza uchumi wa nchi lakini maslahi yao na haki zao hazizingatiwi wapi na wapi, uchumi wa viwanda bado ni ndoto kwa sababu ili viwanda viweze kuzalisha lazima vipate malighafi kutoka kwenye kilimo sasa kilimo kimetupwa kapuni hapo utasemaje uchumi wa viwanda unakua uongo mtupu, pia wataalamu wa kilimo wapo wengi na hawatumiwi ipasavyo .
 
Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa na Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema, Mhe. MsigwaPeter, Juni 04, 2020 amewasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Mhe. John Mnyika ya kutia nia ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Only Time Will Tell.
Msigwa anataka kuvuruga! Anaweza akawa Rais, tena sana sana, Lakini nani anamjua kwa kiasi cha kuhaguliwa? Nina mashaka na hapo!
 
Mbunge wa Iringa Mjini na Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Nyasa Mheshimiwa Mchungaji Peter Msigwa leo amewasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania,

---
Mbunge wa jimbo la Iringa Mjinikupitia chama cha Democrasia na Maendeleo CHADEMA Peter Msigwa pamoja na Muheshimiwa Tundu Lissu wametangazwa kuwasilisha barua ya kutia niaya kuwania Uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanial

Kwa nyakati tofauti wamewasilisha barua hizo kwa katibu mkuu wa chama hicho ambapo Lissu anadaiwa kuongea na Watanzania muda wowote.

Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa na Mjumbe wa CC ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Peter Msigwa amewasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa chama hicho, ya kutia nia ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Zote geresha. CHADEMA watasusia uchaguzi kupgopa kushindwa vibaya
 
Sio mzaha anajua hawezi kupata ubunge hata kwa wizi kama lijualikali
 
Kwanini unahisi ama unadhani hajajiandaa?

Kitu gani kinachomuondolea sifa ya kugombea?
 
Ametangaza nia tu mnaweweseka,,? Je chadema ikichukuwa nchi sindiyo mtaweuka, msigwa ni bora mata 1000 ya jiwe
 
Back
Top Bottom