Afande Fojuman
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 655
- 543
Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa na Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema, Mhe. MsigwaPeter, Juni 04, 2020 amewasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Mhe. John Mnyika ya kutia nia ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Only Time Will Tell.
Only Time Will Tell.