Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Ndiyo Mke wako alikuwa demu wangu naona hujasahau mpaka leo.Hata mkeo namkumbuka alikua demu wangu chuoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo Mke wako alikuwa demu wangu naona hujasahau mpaka leo.Hata mkeo namkumbuka alikua demu wangu chuoni
Hakika Afrika itakumbukaShujaa wa Afrika
Vipi zimepungua eehhh [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Karibu Mama Samia...kesi za kijinga zitapungua
Kijana jiongeze ndugu yako akiwa kwenye madhila sio lazima akuite umsaidie, ni wewe nduguye uone jinsi gani ya kusaidia mara nyingi bila kukuita au kuombwa.Msigwa hakuiomba Ile faini watz walikuwa wanachanga hela
Mwendazake akaibuka from nowhere akilipia [emoji1]
Msigwa alimshukuru na nakumbuka alisema pamoja na kuchangiwa hawezi unga mkono juhudi[emoji1][emoji1][emoji1787]
Acha ikae hivyoHuyo ni ndugu yake kabisa ila kaamua kusema ukweli
Na siku shujaa mwingine aliyepitwa na wakati akishika dola hatoki nchi hii itakuwa ya kifalme, tuchukue tahadhari zote ikiwemo kudai katiba mpya
Acha na wewe mbona aliikataaMungu mkubwa, kweli Msigwa wewe umesahau ulivyolipiwa faini na JPM na leo hii unaanza kumdhihaki inshaallah Mungu atatenda.
Aliwakatalia akina polepoleHuyu mchungaji Msigwa ndio alilipiwa na hayati Magufuli faini ya kutolewa jela!
Kwanza aliikataaMsigwa hakuiomba Ile faini watz walikuwa wanachanga hela
Mwendazake akaibuka from nowhere akilipia [emoji1]
Msigwa alimshukuru na nakumbuka alisema pamoja na kuchangiwa hawezi unga mkono juhudi[emoji1][emoji1][emoji1787]
Hakukataa ilitumika kumtoa Mbowe.Aliwakatalia akina polepole
BAK miss you.Acha uongo wako! Msigwa faini yake ililipwa na Watanzania wenye mapenzi makubwa na Chadema. Pesa ya dhalimu Jiwe na gari toka maccm alikataa.
Usiwajibu watu kama hawa wamechanganyikiwa
Bwawa la Nyerere viongozi wote walishindwa kujenga yeye ameweza kwa pesa za ndani uchaguzi ulifanyika kwa mara ya kwanza kwa pesa za ndani kajenga miundo mbinu nyingi daraja ka busisi kigongo usafiri w ndege vituo vya afya na mambo mwngi na jema zaidi kawakomoa wapinzani kuingia bungeni hilo ndilo msingwa linakuuma maana huna pesa sasa hivi umechakarika ile mbaya nenda kawe nabii wa kuponyesha watu uwadanganye kama wenzio wanapiga pesa