Peter Msigwa: Hayati Magufuli alikuwa shujaa wa kizamani

Mungu mkubwa , kweli Msigwa wewe umesahau ulivyolipiwa faini na JPM na leo hii unaanza kumdhihaki inshaallah Mungu atatenda.
Hahaha japo hakukubaki kulipiwa, hivi wewe ukilipiwa hata msosi si utakuwa house boy kabisa wa aliyekununulia?
Mtu akikusaidia anaondoa uwezo wa kufikiri?
 
Huyu naye atuambie ushujaa wake wa kidigitali na kisasa Chadema iko wapi leo? Aendelee na utumishi wake wa Mbwamwitu aliye vaa ngozi ya kondoo atuondokee hapa!
 
Acha utopolo ww! Msigwa anasema ukweli Sana!
 
Umekaririshwa ukaiva. Kwa vile sasa keshaenda, usiogope kuuliza maswali ili upate uelewa wa maendeleo ya watu ni nini.
 
Acha uongo wako! Msigwa faini yake ililipwa na Watanzania wenye mapenzi makubwa na Chadema. Pesa ya dhalimu Jiwe na gari toka maccm alikataa.
Mungu mkubwa , kweli Msigwa wewe umesahau ulivyolipiwa faini na JPM na leo hii unaanza kumdhihaki inshaallah Mungu atatenda.
 
mwendazake anayo mazuri kadhaa ni kweli kbs, ila kuna mengi pia alikuwa anatenda/sema ya ajabu mno...hadi leo ukikaa chini ukitafakari unabaki unashangaa tu!
 
Mungu amweke mahala anapostahili maana mahala pema kama anastahili abadani asimpe ukuu wa malaika.
 
Oyooooo..... Mama Samia kasema Tupo huru.. Mtupoli alituchelewesha akwende zake.
🤸🏽‍♀️🤸🏾‍♂️🤸🏽‍♀️🤸🏾‍♂️🤸🏽‍♀️
 
Duuuh! Huyu msigwa si ana undugu na mwendazake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…