Peter Msigwa: Hayati Magufuli alikuwa shujaa wa kizamani

Peter Msigwa - National interest, economic diplomacy, geopolitics
 
Mungu mkubwa, kweli Msigwa wewe umesahau ulivyolipiwa faini na JPM na leo hii unaanza kumdhihaki inshaallah Mungu atatenda.
Mchungaji Peter Simon Msigwa,
Asilimia mia moja nakubaliana nawe. Miaka 60 ya uhuru (Umri wa mzee), bado unasema mabeberu wanahangaika na nchi yetu, basi na huo UHURU tulioupata hauna maana. Kwa lugha rahisi, huo ni kutafuta visingizio kwa kushindwa kabisa kutumia akili alizotujalia Mwenyezi Mungu. Uhuru wa nini kama bado unaishi kwa mashaka. Uhuru ukuweke huru na kujiamini. Maendeleo ya nchi zetu yanadumazwa na viongozi wengi waliodumaa. Tuna kila kitu, tusiendelee kumkufuru Mungu kwa wema, upendo, upendeleo na huruma yake. Ulaya hawana rasilimali za maana lakini bado matajiri tunaomba misaada kwao huku sisi tukibaki kukandamizana kama tuko katika himaya za manyani (mwenye misuli ndiyo atakayeishi). Waafrika tuhame kutoka ukale kwenda dunia ya leo. Utilize the brains of our abundant resource-HUMAN BRAINS, we can easily see the bright light.
 
Bwawa lipi limejengwa kwa hela ya ndani, Yan mtu ameikuta nchi inadaiwa trillion 36 miaka 60 toka ipate uhuru, yeye peke yake ndani ya miaka 5 amekopa trillion 23.. amekufa ameacha deni limefika trillion 59! halaf anawadanganya wajinga kama wewe kuwa ametumia kwa pesa za ndani. Idiot! Mbaya zaidi kwa taarifa yako bwawa lenyewe hata nusu halijakamilika.
 
siku zote wanasiasa si watu wa kuwaamini hata kama itatokea mmeoa kwao!
ni watu wa fursa! kibaya zaidi wataalamu wetu wameshindwa kujenga mazingira ya wao kutegemewa na wanasiasa bali wao ndio wanaowategemea wanasiasa na matokeo yake wanatuchezesha nyimbo wanazotaka wao. na kwasababu wameshatujua kuwa sisi ni watu wa malalamiko wa tawala zilizopita basi wataanza na kuzipinga zilizopita ili watulazimishe tuimbe nyimbo tuzizojua na wanazozitaka wao!
lakini zaidi ya yote MUDA sikuzote amekuwa mwalimu mzuri japo anaowafundisha hawaelewi lakini nawasihi tujaribu kutunza maneno yetu kwa kuwa baada ya MUDA si mrefu tutaelewana tu
 

Yes alikuwa shujaa aliyepitwa na wakati tunahitaji Katiba mpya ili asije jitokeza mwingine akaturudisha nyuma
 
Dunia imejaa Mashujaa wengi waliokufa.!
Hivyo usijaribu kuwa shujaa..!
 
Acha ujinga,Miundombinu hakuanza kujenga JPM,Wala hakuna alichofanya cha ajabu,alianzisha miradi mikubwa inayokula pesa nyingi kuriko uwezo wa nchi,mwisho wake akaishia kukopa,Wala sio pesa ya ndani.Deni la Taifa kwa kipindi chake limeongezeka kwa asilimia kubwa kuriko miaka 10 ya Kikwete.
Ameua,amepora,Ili kupata pesa.kila mtu anaweza kukopa na kujenga,sio rocket sayansi.
Tangu amekufa Ndege ngapi zimetua Chato airport?jibu Hili swali ndio utajua jinsi JpM alivyokuwa mtu wa ovyo.
 
Nimeamini Duniani Kuna Wanafiki Wengi , Mchungaji Msigwa Na Hayati Magufuli Walikuwa Na Ka Undugu Kwa Mbali (Mpwa Wa Mchungaji Msigwa Kamuoa Mtoto Wa Hayati Magufuli) Lakini Bado Ana Mponda
 
🤣🤣🤣🤣kwa lugha nyingine ni shujaa mshamba.
 
Na hakuna hat mradi mmoja uliofikia hatu ya 50% na pesa zimeshaisha.
 
Wewe ndio umesahau. JPM alioeleka faini wakati wananchi walishamlipia, all in all Msigwa kasema ukweli mtupu bila kumung'unya maneno kwa mifano hai. Shujaa wa aliyepitwa na wakati
Yaani wafungwe kwa amri yake then awalipie faini. Magu zilikuwa hazimtoshi.
 
Siasa bwana, juzi tu hapa siku ya mazishi maneno ya Msigwa yalikuwa kinyume na haya yapo kwa hii makala...
 
Shujaa wa CCM wa Afrika mnamnanga sana. Muoneeni huruma basi khaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…