Peter Msigwa: Hayati Magufuli alikuwa shujaa wa kizamani

Msigwa hivi ukinyamaza utakuwa umepungukiwa nini. Eti bwana Msigwa, jaribu kujiheshimu mkuu hata kama siasa ni mihemko sasa hiyo imepitiliza. Hivi watanzania wanaweza kukuelewa hayo unayoyasema. Wewe umesaidia lipi katika Taifa hili zaidi ya porojo tu. Mwenzako kafanya kazi kwa bidii katika awamu yake kajenga madaraja kibao, kanunua ndege ninyi kazi kupiga porojo tu hapo bungeni.
 
Mungu mkubwa, kweli Msigwa wewe umesahau ulivyolipiwa faini na JPM na leo hii unaanza kumdhihaki inshaallah Mungu atatenda.
Kulipiwa faini kuna husikaje na mada,hata hivyo kesi za kipuuzi ambazo chanzo chake ni ukinzani wa mawazo ya mtu aliyeamini zama za kale
 
Ushapata taarifa juu ya hasara iliyosababishwa na ndege hizo?.
 
Pasco Mayala ameshapona asante mungu
 
Msigwa anaulilia ubunge wake. Ulivyomchoropoka hakuamini macho yake. Mchungaji gani anakosa maadili ya kidini mpaka kufikia kumsema marehemu.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Arobain bado

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Huyu naye atuambie ushujaa wake wa kidigitali na kisasa Chadema iko wapi leo? Aendelee na utumishi wake wa Mbwamwitu aliye vaa ngozi ya kondoo atuondokee hapa!
Ndiyo Chama kilichoibua maovu mengi ya Serikali ya maCCM. Halafu jiulize aliyesababisha kiwe hapa kilipo ni nani na sasa hivi yuko wapi?

Mbweha jike usiye na uzazi wewe!
 
Mtifuano wa kambi ya Lowassa na Membe.
 
Eti Shujaa wa kizamani 🤣 🤣 🤣
 
See mwambieni msigwa na wapinzani woote kwa sasa tunahitaji mikakati ya kuing'oa ccm madarakani na sio kumsifia aliyepo na kumponda mwenda zake

Msisahau hata huyu naye ni ccm hivyo hawezi kukaa hapo kwa maslahi ya upinzani
CCM inatawala milele Tanzania. Kila wakati wanakuja strategy ya ku counter analysis ya utawala uliopita then zile changamoto wanazifanya ndo vipaumbele vyao. Matokeo yake wanakomba wafuasi unakua mtaji wao wa kura. Kikwete alikuja na swaga zake, wakati anaondoka hakuna aliemtaka na CCM ilipata shida sana kwenye uchaguzi. Ikabidi wampe JPM the game changer. Alisahihisha makosa yote ya Kikwete. Lakini ndo hivyo changamoto huwa hazikosekani kwa binadamu. Sasa mama Samia anadeal na changamoto za magu. Upinzani hawajui watoke na swaga gani? Zaidi ya kucheza ngoma wasioijua.
 
Mbona kumsema hivyo baba mkwe wa mpwa wako...kulikoni[emoji848]
 
Mungu mkubwa, kweli Msigwa wewe umesahau ulivyolipiwa faini na JPM na leo hii unaanza kumdhihaki inshaallah Mungu atatenda.
Weka kumbukumbu zako sawa alilipiwa ili baadae ahamie ccm lkn akagoma, atakuja kujitetea mwenyewe
 
Mungu mkubwa, kweli Msigwa wewe umesahau ulivyolipiwa faini na JPM na leo hii unaanza kumdhihaki inshaallah Mungu atatenda.
Alimlipia faini kwa sababu ni family member....mtoto wa magu kamuoa mtoto wa dadake msigwa
 
Namshukuru kwa funzo kubwa alilotuachia, ametupa fursa na namna ya kuimarisha mifumo na misingi ya nchi yetu vizuri. Kabla yake hatukuwahi kuona nyufa zilizopo katika Katiba yetu kiasi hichi! Ametusaidia kuonesha jinsi Taifa letu lilivyo legelege.


Maneno haya yanaonyesha jinsi Mchungaji Peter Msigwa alivyokuwa juha, anamkandia Magu na huku anamsifia!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…