Kuliko kuwa kenge kwenye msafara wa mamba ,so Bora ungeanzisha chama chako na utaungwa mkono na wenye moyo was kukuunga mkono!!?Mchungaji Peter Msigwa ameendelea kurusha jiwe gizani.
Safari hii anawapa somo vijana walioingia juzi kwenye siasa wajue tofauti ya chama na mtu.
Siku si nyingi chama cha familia kitamrushia virago.
--
βKuna tofouti kubwa kati ya kukilinda chama na kumlinda mtu, Kukipinga chama na kumpinga mtu Chama kina misingi na malengo ya kuanzishwa . Mtu yeyote anayejaribu kwenda kinyume na misingi na malengo ya chama atapingwa kwa nguvu zote tena hadharani.β Kuanzia msingi Mpaka Taifaβ
Kabla ya kujiunga na CHADEMA, Msigwa alikua TLP, mwaka 2000 aligombea ubunge wa Iringa mjini kwa tiketi ya TLP.Chadema 2025
Lissu msigwa wanaweza kufukuzwa au kuwekewa zengwe tu
Je watafungua chama kipya JIBU ni hapana.....sababu ya process za ufunguzi wa chama nchini kuwa ndefu hivyo hasa kipindi hiki na uchaguzi ni mwakani so muda wa kufungua chama hautotosha
Lissu na msigwa kabla ya kuwa chadema walikuwa NCCR mageuzi sasa kama mambo yata enda ndivyo sivyo na mh mbowe watarudi NCCR mageuzi tu
Msigwa alikuwa TLPChadema 2025
Lissu msigwa wanaweza kufukuzwa au kuwekewa zengwe tu
Je watafungua chama kipya JIBU ni hapana.....sababu ya process za ufunguzi wa chama nchini kuwa ndefu hivyo hasa kipindi hiki na uchaguzi ni mwakani so muda wa kufungua chama hautotosha
Lissu na msigwa kabla ya kuwa chadema walikuwa NCCR mageuzi sasa kama mambo yata enda ndivyo sivyo na mh mbowe watarudi NCCR mageuzi tu
Mbowe ndiye Chadema?!!πΌMsingwa; huwezi kushindana na CDM cha msingi tunakushauri achana na hii kitu, upumzike kwa sasa.
Mawe gizani hayatakisaidia kitu, kira hazikutosha ndugu.
ππππMtu ana mgogoro na mbowe wao wanasema hauwezi shindana na chadema means mbowe ndio Chadema ππ
EehMbowe ndiye Chadema?!!πΌ
Mgogoro upi alionao na Mbowe em lete ushahidi,kushindwa uchaguzi imekua nongwa!?,km anapinga taratibu kutofuatwa si amekata rufaa shida nn!?,au ndo kutafuta kiki ya kuondokeaMtu ana mgogoro na mbowe wao wanasema hauwezi shindana na chadema means mbowe ndio Chadema ππ
Nilimheshimu nakumpenda kama philosopher, kumbe takataka mavi.Mchungaji Peter Msigwa ameendelea kurusha jiwe gizani.
Safari hii anawapa somo vijana walioingia juzi kwenye siasa wajue tofauti ya chama na mtu.
Siku si nyingi chama cha familia kitamrushia virago.
--
βKuna tofouti kubwa kati ya kukilinda chama na kumlinda mtu, Kukipinga chama na kumpinga mtu Chama kina misingi na malengo ya kuanzishwa . Mtu yeyote anayejaribu kwenda kinyume na misingi na malengo ya chama atapingwa kwa nguvu zote tena hadharani.β Kuanzia msingi Mpaka Taifaβ
Msigwa asikilizwe. Kwann Mbowe awe sultani chamani? Misingi ya kidemokrasia inasemaje?Msingwa; huwezi kushindana na CDM cha msingi tunakushauri achana na hii kitu, upumzike kwa sasa.
Mawe gizani hayatakisaidia kitu, kira hazikutosha ndugu.