DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Erythrocyte huyu vipi? mbona anatia kinyaaa? Ataivuruga chadema. Nimeandika humu kuwa muda huu si wa kupambana wenyewe kwa wenyewe. Haya mambo yawe internal politics na si kadamnasi. Mdhibitini
Muache aongee huu uoga ndo unafanya CDM na CCM kiwe chama kimoja