Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,409
- 13,262
Kuna utumwa wa aina nyingi ukiwemo wa fikra, ngono, kutumikishwa na pia huu wa siasa ambao Msigwa na Peneza ndo unawahusu
CCM sasa hivi kazi yao ni kuitisha mikutano halafu wao wanakaa background wanawatanguliza Msigwa na Peneza ili kuishambulia CHADEMA huku wao wakiwacheka hasa wanapokosea. Hii ni sawa na mtu anataka kumtukana au kumkashifu mzazi wako badala yeye aseme anakutumia wewe kumnanga na kumbaragaza mzazi wako aliyekutoa jalalani
Upendo Peneza
Mchungaji Msigwa
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
- Kuelekea 2025 - Upendo Peneza ahamia CCM, awananga CHADEMA
CCM sasa hivi kazi yao ni kuitisha mikutano halafu wao wanakaa background wanawatanguliza Msigwa na Peneza ili kuishambulia CHADEMA huku wao wakiwacheka hasa wanapokosea. Hii ni sawa na mtu anataka kumtukana au kumkashifu mzazi wako badala yeye aseme anakutumia wewe kumnanga na kumbaragaza mzazi wako aliyekutoa jalalani
Upendo Peneza
Mchungaji Msigwa
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
- Kuelekea 2025 - Upendo Peneza ahamia CCM, awananga CHADEMA