Pre GE2025 Peter Msigwa: Nimemtuhumu Mwenyekiti wa Chama, sijamtuhumu Mbowe

Pre GE2025 Peter Msigwa: Nimemtuhumu Mwenyekiti wa Chama, sijamtuhumu Mbowe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Hayo ni maneno ya Mtumishi wa Mungu Mheshimiwa Mchungaji peter Msigwa kada wa CCM kutokea mkoani Iringa na mbunge wa zamani wa Jimbo la Iringa Mjini.

Ambapo amesema ya kuwa yeye amemtuhumu Mwenyekiti wa chama na siyo kumtuhumu Mbowe.
Screenshot_20240906-225422_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina
 
Msigwa angetulia tu,kuliko kupiga makelele,Raia wanamuona mjinga,yeye anaona sifa

Hana la kumfanya Mbowe zaidi ya kupiga kelele huku na huko
Ushauri wa bure kwa Msigwa. Weka Akiba ya maneno. Umeshaondoka CHADEMA angalia mbele. Sahau kwamba ulikuwa CHADEMA. Tumia jukwaa la siasa kueleza sera na mema za CCM. Kwa kufanya hivyo utajijengea heshima. Ukiendelea kama unavyofanya sasa hata viongozi wa CCM watakustukia kuwa kuna siku Unaweza kuwageuka!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hayo ni maneno ya Mtumishi wa Mungu Mheshimiwa Mchungaji peter Msigwa kada wa CCM kutokea mkoani Iringa na mbunge wa zamani wa Jimbo la Iringa Mjini.

Ambapo amesema ya kuwa yeye amemtuhumu Mwenyekiti wa chama na siyo kumtuhumu Mbowe.
View attachment 3089039

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina
huyu mwanasiasa muungwana anawahenyesha haswa watesi wake dah 🤣
 
Ushauri wa bure kwa Msigwa. Weka Akiba ya maneno. Umeshaondoka CHADEMA angalia mbele. Sahau kwamba ulikuwa CHADEMA. Tumia jukwaa la siasa kueleza sera na mema za CCM. Kwa kufanya hivyo utajijengea heshima. Ukiendelea kama unavyofanya sasa hata viongozi wa CCM watakustukia kuwa kuna siku Unaweza kuwageuka!
Mtumishi wa Mungu anaongea ukweli mchungu kwa CHADEMA wasiopenda kusikia Ukweli. Acha aendelee kuwaripua mpaka akili ziwakae sawa na kutambua kuwa CHADEMA ni genge la wasaka Tonge na wachumia tumbo tu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hayo ni maneno ya Mtumishi wa Mungu Mheshimiwa Mchungaji peter Msigwa kada wa CCM kutokea mkoani Iringa na mbunge wa zamani wa Jimbo la Iringa Mjini.

Ambapo amesema ya kuwa yeye amemtuhumu Mwenyekiti wa chama na siyo kumtuhumu Mbowe.
View attachment 3089039

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina
Siyo kila Mchungaji ni Mchungaji wa Mungu,Wengine wachangiaji wa shetani
 
Huyu mpumbavu ni ithibati kamili kuwa ukiingia CCM na akili nazo zinayeyuka.

Kwahiyo anataka kusema Mwenyekiti wa CHADEMA na Mbowe ni watu wawili tofauti?

Msigwa amekuwa mithili ya mtalaka anaetaka ndoa bado. Kutwa kumsema mumewe.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hayo ni maneno ya Mtumishi wa Mungu Mheshimiwa Mchungaji peter Msigwa kada wa CCM kutokea mkoani Iringa na mbunge wa zamani wa Jimbo la Iringa Mjini.

Ambapo amesema ya kuwa yeye amemtuhumu Mwenyekiti wa chama na siyo kumtuhumu Mbowe.
View attachment 3089039

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina

Kuyafanya mambo kuwa rahisi, ni vyema akaitumia hekima hiyo👆👆 ya mwaka 2020 dhidi ya Abdulhaman Kinana.....

Ni fedheha na aibu bila shaka. Lakini afanyeje sasa maana haya ndiyo matokeo ya kutenda/kusema bila hekima? There's no way isipokuwa kuubeba msalaba wake.....

Ni heri kukabiliana na aibu na fedheha kuliko kufa kama afavyo mpumbavu....

Kama uko karibu naye, mpe ushauri huu...
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hayo ni maneno ya Mtumishi wa Mungu Mheshimiwa Mchungaji peter Msigwa kada wa CCM kutokea mkoani Iringa na mbunge wa zamani wa Jimbo la Iringa Mjini.

Ambapo amesema ya kuwa yeye amemtuhumu Mwenyekiti wa chama na siyo kumtuhumu Mbowe.
View attachment 3089039

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina
STupid
That fits the utetezi
 
Mtumishi wa Mungu anaongea ukweli mchungu kwa CHADEMA wasiopenda kusikia Ukweli. Acha aendelee kuwaripua mpaka akili ziwakae sawa na kutambua kuwa CHADEMA ni genge la wasaka Tonge na wachumia tumbo tu
Acha kutaja jina la MUNGU kwenye upumbavu mtakufa vibaya kutaja jina lake na kwenye ujinga wenu
 
Back
Top Bottom